HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 2,952
- 5,583
Sisi shida yetu ni tunaletaga utoto mwingi wakati tusiopaswa kuleta mzaha. Tukiongeza maturity kidogo na proper game management tutapambana hadi mwishoni. So far tuna injuries ambazo zimepatiwa majibu, ila tunawasiwasi iwapo watu kama Saka, Saliba, Gabriel au Odegaard.Umewahi kushiriki marathon ya point moja kutoka March mpaka may bila kuambulia kitu???
Msimu mgumu huu. Kipindi cha Marathon hii ilikuwa ni Pep vs Klopp. Tulipunguza gap from 12 mpaka 1, lakn hiyo point moja mpaka mwisho tulishindwa kuidaka.
Msimu huu naona Arteta nae kajisogeza kwenye Marathon.
Zamu yenu embu mpate majeruhi walau wanne tuone ubavu wenu wa kuhimili vishindo.
Tukiendelea na moto huu tutawafikia na huenda mwishoni mwishoni tukawapokonya tonge.