Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

We are losers

Cha ajabu utashangaa mwisho wa msimu tunafanya paredi ya kushangilia carabao huku tukijisifu kuwa paredi yetu imekua bora kuliko paredi ya treble ya Man city

Hii losing mentality tuliifuga tangu tulipofanya paredi 2022 soon tuu baada ya kupoteza CL kizembe
Your so negative dude. Paredi itafanyika lengo ni kumuaga Klopp
 
Nilidhani siwapendi mtani...nimekuja kugundua kumbe nawapenda Livakuku[emoji1783][emoji1783]...maneno ya shombo yte nayaacha kuanzia Sasa...Villa wqmetufedhehesha sana

ekuka
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] na mngeshinda leo, cha ajabu mkashinda njaa [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji24]
 
2013/14 sio kweli kuwa Crystal palace walizizika ndoto za kuwa bingwa Bali ni Chelsea Tena ile blunder ya Gerrard ya back pass ya Demba Ba hata Crystal palace angefungwa ubingwa ungeenda City tu

Unajua maana ya kuzika? Au umekuja kucomment tu hapa?

Hebu rudi kijijini kwenu wakakufundishe kati ya kufa na kuzika kipi kinakuja mwanzo then utapata majibu nani aliyeuwa ndoto za Ubingwa kati ya Chelsea na Crystal Palace na nani aliyekuja kuzika ndoto za Ubingwa kati ya Chelsea na Crystal Palace.
 
Niliposema haya maneno baada ya kupoteza mchezo wa leo watu walinicheka lakini mimi nasimamia haya maneno mpaka game ya mwisho ya 38.

Huu msimu tunabeba Kombe la EPL naendelea kusisitiza.

Saint Anne bado unawasiwasi na Ubingwa?
Mbele kipara? Ligi ishaisha brother, just wapresent tuu kombe kwa City

Sisi tujipange kwa msimu ujao with new manager with new vision

Aondoe matakataka ya klop yasiyojua kuua msimu vizuri kila mara

Yanachojua ni kutupa hopes tuu then dakika za mwisho yanatuumiza
 
Bwana si Liverpool pia have suffered fate tu kama ya Arsenal? Why isn't anyone talking about this farewell fraud? Mkue fair kiasi.
1713156225053.jpg
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom