LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Kwa mashambulizi haya cjui kama hawa vijana wa New Ctl watatoka!
Ila tusubiri dk 90 ndiyo msema kweli!
Ni dk ya 40 na bado milango kwa kila timu ni ngumu ila L'poolFC wanashambuli goli la kama nyuki bila ya mafanikio!
Ila tusubiri dk 90 ndiyo msema kweli!
Ni dk ya 40 na bado milango kwa kila timu ni ngumu ila L'poolFC wanashambuli goli la kama nyuki bila ya mafanikio!