Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapana. Mie bahati yangu ipo kwa walionizidi no. Sijui kwa nini toka enzi zile. Heheh kwa hiyo hao u18 na hao wa alfu 2 hata sipo nao..!!! Ndio naanza anza kwako hivi japo ni anonymously, as long as ni wa alf mbili
Jamani we katoto
Usiniweke kwenye kundi la watoto wenzio😂
 
Hawa Bournemouth waliamua kupress zaidi once mpira unapokuwa kwa Konate na wakimnyima Space ya kupiga Inside pass kwa either Trent or Mcallister or Ryan Gravenberch kilichotokea ni kuwa Ibou Konate aliwaua kwa kupiga Assist,key pass na pre-Assist akipiga long ball kwa Salah or Nunez or over the Top watu wafanye Running off the Channel

Konate killed them with outstanding passes.

YNWA
 
Screenshot_20240924-164006_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom