punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 451
Dah, wee tablet na wenzako...yamekuwa hayo???? Timu itakuwa kali kweli mda mfupi ujao! Mtarudi hapa na misifa kibao nyie subirini magarasa waondoke hlf mtaona mambo...YNWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, wee tablet na wenzako...yamekuwa hayo???? Timu itakuwa kali kweli mda mfupi ujao! Mtarudi hapa na misifa kibao nyie subirini magarasa waondoke hlf mtaona mambo...YNWA.
Haaaahaaaaaa, wee Belo, Arsenal ndo wametukaribia! Naona kama wao ndo washuka sisi hatujapanda kihivyo ila hatuna presha...YNWA.Kazeni buti mtafika mbali naona mshawakaribia Arsenal
Huyu ni rafiki yake Pazi! Pazi uko wapi?! Jamaa yako Hendo kafanya kweli hapa...!![]()
hapa ni wakati anafunga goli la kuongoza la liverpool Jordan Henderson
Huyu ni rafiki yake Pazi! Pazi uko wapi?! Jamaa yako Hendo kafanya kweli hapa...!
Mkuu kinachohitajika zaidi ni accuracy ya wachezaji hasa wanapokuwa kwenye eneo la kufunga. Kwenye gemu hii liva walipoteza clear chances nyingi sana hasa kipindi cha kwanza.Tumeshinda lakini bado timu hii ni mbovu. Inahitaji reinforcements. Tunahitaji 2 pure strikers (goal poachers), 2 speedy wingers na 1 center back. Tukiweza hayo basi tutarudi enzi zile ya kubeba ile ndoo yetu "UEFA champions league"
![]()
hapa ni wakati anafunga goli la kuongoza la liverpool Jordan Henderson
ndetichia; Hakika nakwambia hii club itakuja kushangaza ulimwengu majira kidogo ijayo!