Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Everytime JK akiwa kwenye mbio za ubingwa last 7 games kunakuwa na
Everton
Worst Man united
C.palace and the likes

Na ni lazima atokee wa kuzima ndoto za ubingwa.

Arne kama anautaka ubingwa ajitahidi ashinde wee ikitokea fixture kama hiyo awe yupo 7+ points above City ndio walau aote ubingwa.

Sisi tunagundu mechi kama hizo anateleza mtu bahati mbaya au anatoa pasi boko mradi tuu mambo yaharibike

Ile Klopp system was heavy na ilihitaji depth with quality squad, bad luck kwake alikuwa na mabahili no. Moja duniani katika sekta ya mpira. Ndio maana kuaniza Feb - April tulikuwa tunapotea sana (fatigue & injury).

Kikubwa ilipaswa kuwa na good squad management, na muda mwingine within the game tulipaswa kuslower our tempo ili ku maintain energy ya wachezaji.

Nafikiri Slot anapaswa kuanzia hapo, ubingwa unaanzia pale (jan - march)
ukivuka salama you are good to go.

Slot alipotua Anfield aliambiwa mambo mengi kuhusu team na whole story about Klopp success & failure na mambo mengi tu.

Ikiwemo:-

Early kick off,
Away matches,
Tough matches (every team),
Many matches,

Lets hope for the best, azidi kuwa Mjifunzi na mambo ya EPL, asikae ofisini na kucheza game la nyoka, aendelee kula tuition.

Ynwa’
 
View attachment 3117582
• 2 goals conceded in 7 Premier League games..

[emoji2788] - Van Dijk: "It should have been 1 goal. That last goal vs Wolves is still bothering me."

Hata mie, lile goli liliniuma na linauma, ilikuwa cleansheet ya kuwezekana kabisa, bad day in the ofisi.

But atleast, we have a good start, lets enjoy our moment currently.

Ynwa’
 
IMG-20241007-WA0036.jpg
 
Kuna baadhi ya watu walitaka “Pep Lijnders” achukue mikoba ya Klopp, lakini anachokifanya kwa sasa is too much worse than the worse itself.

Hii ni kuanzia 1/9/2024 to 6/10/2025

Rapid Wien 3-2 Salzburg

Sparta Prague 3-0 Salazburg

WGL Tirol 0-0 Salzburg

Wiener Victoria 0-4 Salzburg

Salzburg 2-0 Austria Wien

Salzburg 0-4 Brest

Sturm Graz 5-0 Salzburg

Jamaa anachapika sana huko, sijui hajaiba material kwa J. Klopp, wanambutua sio domestic league au huko CL,

Ynwa’
anachana mikeka balaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom