Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

A win is the only option .

8 points clear from 5pm today, Then 11 points clear 7 days later.

ONLY LIVERPOOL [emoji837][emoji837][emoji837]
January Man City tunaziba viraka na baada ya hapo ni vichapo mfululizo kwa yeyote yule atakayekuja mbele yetu kwahiyo hakikisheni mnetuacha pointi za kutosha la sivyo mtaishia kuwa runner-up.
 
January Man City tunaziba viraka na baada ya hapo ni vichapo mfululizo kwa yeyote yule atakayekuja mbele yetu kwahiyo hakikisheni mnetuacha pointi za kutosha la sivyo mtaishia kuwa runner-up.
Kwani si linaeleweka hili ?
Man city na Arsenal ndio wanaogombea ubingwa ?
Liverpool ipo kwenye transistion sasa hivi. Usiiweke kwenye tittle race kabisa
 
LADDER48.png
 
🔥 🔥 Salah katika ubora wake. Kombora hilo kwa FSG na uongozi pale Liverpool yaaani huyu dogo anajua kutetea ugali wake..
Haya over to you Edwards.

YNWA

🔥 🔥 Salah katika ubora wake. Kombora hilo kwa FSG na uongozi pale Liverpool yaaani huyu dogo anajua kutetea ugali wake..
Haya over to you Edwards.

YNWA
hatari
 
Back
Top Bottom