Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli la pili ni la bekiAllison ni takataka sana
Heri angedaka Kelleher tu
Jitu limesimama wima kama mwanajeshi
Linajitingisha tu kidogo halitaki kujichosha kabisa🚮
Alichambua Kwa hisia zaidi ya uhalisiaMosDef alisema tutapata ushindi mkubwa.......
nasubiri maoni yake baada ya game!
Speak now🤣Hawa nyumbu hatuwaaachi we smash them like a toilet paper.
Huo ni wa asenaneMzimu wa January ushaanza as usual
Umesahau 18/19 sare za kutoshaHuo ni wa asenane
As i expected, akili za wachezaji ziliingia kama akili za mashabiki humu kuidharau unitedEverton at Goodson Park, i agree.
But, hii Utd, Amorim bado ana-struggle nayo, itakuwa ni big suprise kama tusipotoka na ushindi mzuri.
Hicho kigoli cha penalt ndio unashangilia hivyo!. Tena penalt yenyewe ya VAR! angalia magoli ya wanaume hayana kipengele.Goooool salaaaa the King him self.
Usilaumu tu wachezaji wako. Sifia wapinzani walivyojipanga. Ni kama Gusa, Achia, Twende kwao.Pumbavu Sana
Nikalale tu
Siwezi poteza muda wangu naangalia mijitu inacheza kama haitaki.
Haya yanatokea kuna siku anafanya vizuri unamsifia!Yalikuwa wapi kukimbia hivi
Diaz ni takataka
Heri ametoka
Ndio unavyojipa moyo kwamba "mlichukuliabgame poa" Ulaya hiyo kitu hamna mmezidiwa ujanja tu na hao wanaume.Hakuna upuuzi tumefanya kama
Kuchukulia game poa
We needed a strong press because manure lost most of the 50/50 games today
Upuuzi mtupu