Win lose Draw
Ni matokeo kwenye football, hivi mmeshawahi kujiuliza
Kwanini Slot hapati matokeo kwa waalim wanaotoka Ureno,ambapo tulifungwa Anfield Nuno Esprito Santo? na Mwingine akaja kutoa sare 2-2 na Fulham, Na leo Amorim na Man U ametukazia, but kuna small details ukizifuatilia utagundua kwenye mbinu hawa waalim wa kireno ni mabingwa wa kujilinda na wanapoingia kwenye michezo mikubwa wamekua wanafanikiwa sana.
Mjadala uanzie hapa
TIMING
King Ngwaba
Ladder 49
Captain Marvelous
MosDef
The MoNA
Na wengineo
Today got nothing with Utd kuwa good, it was just a bottle-job.
We missed our press-leader kwenyd MF (Szobo), Slot had answers for that but he opted not to take that route.
I'm not a coach, but theres no way we couldve matched Utd MF set-up & its aggressiveness with Curtis Jones as our tempo-setter, not taking anything from Curtis, but he wasnt on that pitch today, and siyo mara ya kwanza, route ambayo Slot hakuamua ku-opt ni kuanza na Endo, au kum-introduce at HT au baada ya Penalty ya Salah ili ku-shape & balance the MF, but for obvious reasons, bado anaona Endo hafai in his system.
Get Curtis off, put Endo at 6, push Grav further up the pitch, let him combine with Alexis, to play/minimize muda wa Maino & bruno on the ball.
Szobo was missing today, but at OT, alianza na Alexis at 6, and Grav & Szobo as 8s and it paid off, Szobo hakuwepo today, so put Endo at 6, then Alexis & Grav as 8s, that wasnt a game for Curtis, especially with a flat-bully destroyer like Ugarte.
Then, Trent didnt help us today, nothing was working for him, so i thought Slot, ange-tweak kidogo his standing-point, na kuacha kumu-isolate for offensive distributions, because his passing actions werent working or connecting with Salah today, plus Konate was not too fast to eat/cover the spaces (first game after long injury), & Szobo hakuwepo ku-deal na transtions za Utd, so it was either kumtoa au kumchezesha on the back-foot/line, and re-shape to 3-man MF.
Subs werent good, we needed goals, yes, but kabla ya kuhitaji goals, we needed a clear balance in the MF kwanza, maana we were losing everything kwenye 2nd half. goals zingekuja.
Either, bad games happens, still a long way to GO, we didnt lose.