Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni ngumu sana kuelewa aisee. Manchester City wapo wanafukuzia wachezaji wanne kwa mpigo... Na FSG wapo wanatazama Gravenberch akicheza markshift defender yaaani......... hizi fursa ni adimu tunayo hapa lakin mmh wapo wanakula burger tuu na coka barid sanaa.

YNWA

City, will be paying Marmoush close to Salah's wages anayopata at LFC.

Marmoush had 1 & half top/big season in Germany, hana kombe lolote la maana kwenye CV/resume yake, but player mwenye CV kama ya Salah anaonekana greedy kwa kutaka an improved contract kutoka kwa FSG & LFC, and Trent with his CV/resume cant ask for 300k.

FSG and their apologists, wame-set standards za chini sana kwa hii club yetu, na inaumiza sana.

Proper/top reds, wanaponda Pep anavyo-spend hii January, but thats what winners do, Man City wanahitaji a serious squad-rebuild, na unaona jinsi wanavyoshambulia hii january transfer window ili ku-save their season, sisi tulipata CBs crisis wakati ule, na FSG wakaishia ku-spend £2m kwa Davies & loan ya Ozan Kabak.

Its sad sana kuona baadhi ya LFC fans wanawa-entartain hawa jamaa, wametu-cost a lot of trophies kwa kuruhusu team kuwa short kwenye baadhi ya departments for years.

Last time we bought a CB was 2021, last time we bought a real DM was 2018.
 
Brother, stop.

Kauli zako, zote mbili huko, zinasema goal limetokea upande wa kulia, na kauli ya pili ukasema upande wa kulia ni uchochoro wa kila siku.

nani anaye-defend our right side?

Nilichofanya ni kuonesha kuwa goal la forest siyo mistake ya Trent wala our right side.

Agenda.
Emotions getting high

And the goals keep coming from THAT side
 
Its us or Arsenal for the title this season.

If Arsenal get a formidable ST/CF, hii second-half itakuwa ni close-ride.

Even though our squad is thin, interms of quality, but if our big/important players (VVD, Alisson, Konate, Grav, Trent, Szobo, Alexis & Salah) stays fit majority of this season & Gakpo/Diaz keep/stretch their good form for a little while, we will go all the way.

Injuries & fatigues, can be a killer, we just need to avoid/manage hivyo vitu kwa ufanisi.
We need defenders this Jan

LB, CB na huko kwingine sitaji maana unakuwa imoshino
 
City, will be paying Marmoush close to Salah's wages anayopata at LFC.

Marmoush had 1 & half top/big season in Germany, hana kombe lolote la maana kwenye CV/resume yake, but player mwenye CV kama ya Salah anaonekana greedy kwa kutaka an improved contract kutoka kwa FSG & LFC, and Trent with his CV/resume cant ask for 300k.

FSG and their apologists, wame-set standards za chini sana kwa hii club yetu, na inaumiza sana.

Proper/top reds, wanaponda Pep anavyo-spend hii January, but thats what winners do, Man City wanahitaji a serious squad-rebuild, na unaona jinsi wanavyoshambulia hii january transfer window ili ku-save their season, sisi tulipata CBs crisis wakati ule, na FSG wakaishia ku-spend £2m kwa Davies & loan ya Ozan Kabak.

Its sad sana kuona baadhi ya LFC fans wanawa-entartain hawa jamaa, wametu-cost a lot of trophies kwa kuruhusu team kuwa short kwenye baadhi ya departments for years.

Last time we bought a CB was 2021, last time we bought a real DM was 2018.
nadhani hata makocha wetu huwa haaaendi public kudai wachezaji tofauti na pep anaeongea hadharani..... nadhani hili ni tatizo pia
 
Kocha aanze kuwaamini wakina Endo,Elliot,Chiesa Jota na Tsimikas waanze ktk first eleven coz wana fresh legs Kuna baadhi wa players washaanza kupungua ule ufanis sjui sababu wametumika sana au vip

Jota sio kwamba haaminiwi ila ndiyo hivyo miguu ya mabua yani juzi kaingia kipindi cha pili tu sasa hivi yupo Wodi namba 4 ya wagonjwa halafu umuanzishe kwa dakika 90? Hata dakika ya 60 hatoboi anapelekwa ICU.
 
Huyu Diaz kachoka, game ya 3 au ya 4 hii hana ile fire power yake ya kawaida. Leo anapiga vishuti kama mate ya mlevi

Najiuliza kwanini Slot hamuamini Elliot. Lkn naamini hizi game zingine anapaswa kuanza na atatusaidia
 
Back
Top Bottom