Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ila mimi nashindwa kuwaelewa FSG kabisa. Kwanini wanakuwa reluctant ku sort hizi mambo za mikataba mapema hasa team ikiwa katika critical moments kama hivi inaongoza both CL na PL.

Kwanini wasinge sort mapema ili wachezaji wa focus kucheza mpira badala ya kuwaza mikataba
Mkuu FSG has been caught pants down kwanza kwa Klopp ku resign vile na cha pili impact ya Slot kwa wachezaji... In short FSG walijua tunarudi kuleee 2016 ndio maana wali relax kabisa ili hawa ma top earners bila UCL ama competitive team wangesepa tu, ishu sasa hawana pakujificha zaidi ooh ku disrupt wage bill mara wako 30+ yaani wanatapata... Konate nae amegoma kusaini anadai mpunga uongezeke,
Tuseme tu Liverpool ime outgrow FSG strategy maana ile buy young sell hakuna tena wachezaji sasa wanataka kustafia Liverpool hawataki kuodoka kama mahitaji yao yanazingatiwa...
Wish one day Klopp awe mkweli aseme behind the scenes zilizofanya a resign maana pamoja na fatigue naamini na set up ya FSG ipo kwenye mix.. Kwanza ilikua Edwards akaja Ward na wengine wengi wengi aafu Klopp pale kwa moto aisee.. Too good kwa FSG timu inafanya vyema kwa sasa hivyo haya mambo hayatazamwi sanaaaaaa.
Salah kashasema nipeni ela nitulie apa apa, Vvd kashasema, Konate amesema, Trent ni typical Scouser ana trend very carefully.
Ngoja tuone mwisho wa haya mambo.

YNWA
 
Dominik Szoboszlai

Jamaa amekuwa wa moto sana sasa hivi ni kama mfumo wa mwalimu ulikuwa hauja muingia vizuri katika mishipa ya damu yake ya mpira

Sasa hivi hataki masikhara kabisa , Jamaa kwa sasa hana muda wa kurelax akiwa kiwanjani , anatembea maeneo yote ambayo kiungo anatakiwa afike na kutimiza majukumu yake,

Kuna Wakati akiwa hana mpira atalazimisha makosa kwa wapinzani mpaka mpira uwe katika himaya yake, kwa sasa anatengeneza nafasi nzuri na jicho la goli limeanza kutoa tongo tongo na kuwa na uwezo wa kuona ipasavyo.

Nadhani zile kelele za mashabiki kumtaka arejee ktk ubora wake alizifanyia kazi haswa , hakutaka kuona yupo Liverpool kama mchezaji wa akiba bali mchezaji anae takiwa kuwa kiwanjani Kila Wakati na kuipambania timu.

Watu walisema bora Jones kuliko huyu Jamaa.
Ndio naisoma leo yaani Szobo vs Jones na wapo waliochagua Jones duh ama kweliiiii....
Szobo toa magoli yake aafu tazama work rate yake is next to non... Anaongoza kwa distance covered kwa wachezaji wote Liverpool n i guess even last season ..
His metrics are insane, ball recoveries, blocks, impact tackling etc..
In short Macca na Szobo ndio wanamfanya Gravenberch kua vile kwa kua they offer tremendous support kwake...
Jones ni kama mafua tu leo atakupa raha kesho utanuna🙈🙈🙈🙈

YNWA
 
FB_IMG_1737957841536.jpg

Moja ya viungo bora ndani ya Premier league, Liverpool haukutunia pesa nyingi sana kupata saini ya vijana hawa

⚡️Mac Allister: £35m
⚡️Szoboszlai: £60m
⚡️ Gravenberch: £34m

£129m imetumika kuleta furaha kwa mashabiki, kuna team inatoa 100m kwa kiungo mmoja
 
Seen it bro. Ujue nachojua mpaka sasa game haina cleensheet hii kwa timu zote hizi.

Secondly nampenda Iraola sio muoga atafunguka sana tu atakuja aggressively especially first half watauwasha sana.. Na ninawaoa advantage ya kupata even two goals up then we will turn into a win.

Hii aggressive ndio raha ya LFC ilipo, zitapigwa turns over na combination play ya maana sana. Hapo ni Trent, Robbo na Konate waamkie kulia, individual errors zitatucost kuliko tactical issues.

In the last 10 matches vs B'mouth we won 9 and lost 1.
Cleansheet haipo
Watatutangulia goli/magoli
Target side ni kulia kwa Trent.
But LFC will win pale Vitality Stadium regardless the form they have currently. Otherwise Injury or red card iharibu mipango.

Ynwa"
If we fail to beat them maana yake we are not champions material. Hizo ndio mechi za kibingwa
 
I myself, I'm not counting B'mouth as our kisiki. Hao toffees (Everton) ndio kisiki hasa, hawa wakiwa pale kwao, huwa hajali ubora alionao au alionao LFC, yeye anachojua ni kukaza wasipate points wakizidiwa basi walau draw, zaidi sana LFC wakiwa kwenye race ya ubingwa wanakomaa mno. Sio nawa underate B'mouth but we will get three points from them


Ynwa
Ndio maana hatukuwa mabingwa mara 2 kwa kupitwa point 1 sababu hatukuweza kushinda mechi za kibingwa kama hizo.

Mechi kama hizo city akiwa kwenye ubora wake anazishinda kwa namna yoyote ile
 
View attachment 3215307
Moja ya viungo bora ndani ya Premier league, Liverpool haukutunia pesa nyingi sana kupata saini ya vijana hawa

⚡️Mac Allister: £35m
⚡️Szoboszlai: £60m
⚡️ Gravenberch: £34m

£129m imetumika kuleta furaha kwa mashabiki, kuna team inatoa 100m kwa kiungo mmoja

Kuna Manure kumnunua Anthony mwenye thamani ya €25M kwa €90M sasahivi anamtoa kwa mkopo
 
Everton washambuliwe kama nyuki watakaa yaani mechi hiyo inamfaa nunez awachoshe walegee kama mlenda then majistriker ya dunia yaanze kufungilia mafuriko aaah kudadeki hawawezi zuia mvua!
Moyes anaijua thamani sana ya Merseyside derby alikua kipindi kile cha kina Fellaini, Baines, Jagielka, Colman na wenzao wengine ambao wakisikia LFC ni next match wanajitoa muhanga kwa 100% mechi nzima.

Sasa amerejea kama kocha wao mkuu, Pickford anaielewa hii derby vyema. Bwana sikieni wale mahasimu wetu na hakuna wakati mzuri wa kuwaumiza kama wakati huu wapo kwenye mbio za ubingwa. Do or die tuwazuie, commitment yao hubadilika siku ya mechi.

Ngoja tuone mpaka tunakaribua kukutatana nao, afya ya kikosi itakuwaje. Tutegemee low block system ya maana huku wakisubiri counter to attack

Ynwa'
 
Moyes anaijua thamani sana ya Merseyside derby alikua kipindi kile cha kina Fellaini, Baines, Jagielka, Colman na wenzao wengine ambao wakisikia LFC ni next match wanajitoa muhanga kwa 100% mechi nzima.

Sasa amerejea kama kocha wao mkuu, Pickford anaielewa hii derby vyema. Bwana sikieni wale mahasimu wetu na hakuna wakati mzuri wa kuwaumiza kama wakati huu wapo kwenye mbio za ubingwa. Do or die tuwazuie, commitment yao hubadilika siku ya mechi.

Ngoja tuone mpaka tunakaribua kukutatana nao, afya ya kikosi itakuwaje. Tutegemee low block system ya maana huku wakisubiri counter to attack

Ynwa'

Na kibaya zaidi wana chuki ya mwaka 2006 ambayo haiwezi kuwatoka wataibeba milele na milele.

2005 tulishinda Kombe la UCL lakini kwenye Ligi tukashindwa kuingia Top Four tukashika nafasi ya 5. Everton ndiyo wakashika nafasi 4.

Ikumbukwe kipindi kile Sheria za UEFA zilikuwa hazijafanyiwa marekebisho hivyo ilikuwa Timu za kushiriki mwisho ni 4 tu haziruhusiwi kushiriki timu 5.
Sasa Liverpool 2006 lazima ashiriki kama bingwa Mtetezi kwasababu kwenye Ligi hakuingia Top Four.
Hapo Sheria ikabidi Everton aliyeshika nafasi ya 4 akaenguliwa asishiriki UCL ili nafasi yake ashiriki Liverpool kama bingwa Mtetezi.

Ukawa uhasama mkubwa kwa Everton kuzidi kutuwekea chuki mpaka leo.

Hivyo game na wato watalazimisha kutuharibia lazima tujipange vizuri na tuwe makini.
 
Hawezi kutoka timu ndogo akahamia ndogo
Anataka timu za makombe kama Liverpool
Huyo akitaka progress aje kwetu, vinginevyo ataenda kupotea huko kwingine

Halafu uliikataa zawadi ya ile jersey niliyokwambia?

Fanya mpango kesho uipitie ukiwa Kabwe
 
Ratiba inayokuja ya mechi tano za Liverpool ni ngumu sana, hasa kwa michezo mitatu ya ugenini dhidi ya Bournemouth, Everton, na Manchester City. Pia, mechi za nyumbani dhidi ya Wolves na Newcastle si rahisi.

Kwa tathmini ya kawaida:

1. Bournemouth (Ugenini) – Liverpool wana nafasi ya kushinda, lakini Bournemouth ni timu yenye uwezo wa kusababisha matatizo. Ushindi wa Liverpool (3 pts).

2. Everton (Ugenini) – Derby ya Merseyside daima ni mechi ngumu, hasa ugenini. Sare inaweza kuwa matokeo ya kweli. Sare (1 pt).

3. Wolves (Nyumbani) – Liverpool wanapaswa kupata ushindi hapa kutokana na ubora wao. Ushindi wa Liverpool (3 pts).

4. Man City (Ugenini) – Hii ni mechi ngumu zaidi kwenye ratiba. Sare au ushindi itakuwa matokeo mazuri, l (1 au 3 pts).

5. Newcastle (Nyumbani) – Ingawa Newcastle ni timu yenye ushindani mkubwa, Liverpool wanaweza kushinda. Ushindi wa Liverpool (3 pts).

Jumla ya pointi zinazotarajiwa: 11 hadi 14 pts.

Je tunaweza pata alama zaidi ya 11 kwenye mechi hizi?
 
Mkuu FSG has been caught pants down kwanza kwa Klopp ku resign vile na cha pili impact ya Slot kwa wachezaji... In short FSG walijua tunarudi kuleee 2016 ndio maana wali relax kabisa ili hawa ma top earners bila UCL ama competitive team wangesepa tu, ishu sasa hawana pakujificha zaidi ooh ku disrupt wage bill mara wako 30+ yaani wanatapata... Konate nae amegoma kusaini anadai mpunga uongezeke,
Tuseme tu Liverpool ime outgrow FSG strategy maana ile buy young sell hakuna tena wachezaji sasa wanataka kustafia Liverpool hawataki kuodoka kama mahitaji yao yanazingatiwa...
Wish one day Klopp awe mkweli aseme behind the scenes zilizofanya a resign maana pamoja na fatigue naamini na set up ya FSG ipo kwenye mix.. Kwanza ilikua Edwards akaja Ward na wengine wengi wengi aafu Klopp pale kwa moto aisee.. Too good kwa FSG timu inafanya vyema kwa sasa hivyo haya mambo hayatazamwi sanaaaaaa.
Salah kashasema nipeni ela nitulie apa apa, Vvd kashasema, Konate amesema, Trent ni typical Scouser ana trend very carefully.
Ngoja tuone mwisho wa haya mambo.

YNWA
Nailed it
 
Jezi nipe mkuu
Nikupe lipa namba ya muuzaji
Ukiweza ninunulie hata 2
Yaani utakuwa umeupiga mwingi, arsenal jezi yenu unyama ni mwingi Mwaisa
Ni timu tu hainaga vikombe.
Huyo akitaka progress aje kwetu, vinginevyo ataenda kupotea huko kwingine

Halafu uliikataa zawadi ya ile jersey niliyokwambia?

Fanya mpango kesho uipitie ukiwa Kabwe
 
Back
Top Bottom