Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu aliyekujibu sio mimi, nadhani hata wewe unajua mimi post zangu si za kubishana au kujibu jibu watu ovyo.

Pia post zangu sio za kumuongelea Slot kwanza simjui kwa chochote huko alipotoka.

Pia Slot hatengenezi Timu bali anatumia Tumu iliyotengenezwa na Klopp! Ukiniambia anatengeneza mfumo wake mwenyewe wa uchezaji hapo nitakuelewa lakini sio kutengeneza Timu.

Msimu huu asingeshinda chochote kwa kuanza kuyumba tokea mwanzo wa msimu ningemuelewa kwasababu ni mpya wachezaji wanaingia kwenye mfumo mpya.

Lakini EPL anaongoza, Carabao yupo Fainali hivyo asiposhinda sasahivi basi hiyo ni bottling na atapaswa kuwajibika.

Basi alikuwa Manyanza 😀
Halafu unaongelea bottling kama booonge la shida. Mbona sisi tunabottle kama tamaduni na wala hatuna stress yoyote.
 
kwani wakati Liverpool anachukua hilo Kombe la COVID Man Utd walikuwa wameacha kushiriki EPL au
Mzee mwenzangu sijamuelewa kabisa mtoa post, nikaona nimpe ujiko, ila sio yeye tu, hata wale wanaosema tuliyochukua sio ya EPL kwasababu jina lilibadilika nawaambia tu kwa kisambaa YOU ARE RIGHT, yaani kwa kitaliono tunasema WANA AKII ZEAWA MWE NTIII
 
Tuna misimu miwili hatujashinda Goodison Park. But This. This is the moment to put thing right, Tunatakiwa kwenda ku- turn up, Take control na kuchukua three points No more slip -up No more wasted chances.
 
DIAZ + NUNEZ +JOTA.

Nunez hawezi kufunga magoli yakutosha for a team inayopigania ubingwa.

Diaz ni Too inconsistency huelewi ata turn up muda gani.

Jota Fantastic player lakini you just cannot trust him to stay fit for more than a couple of games.

LFC tunahitaji ku fix this in the summer ,Tunahitaji proper attacking rebuild
FB_IMG_17392947160515461.jpeg
 
Arne Slot’s Tactical Revolution: How Liverpool Became the Blueprint for Modern Football


Liverpool’s transformation under Arne Slot is more than just a managerial shift—it’s the redefinition of how modern football is played. In a recent PanenkaLFC episode titled How Arne Slot INGENIOUSLY Invented Football’s New META!, they take a deep dive into Slot’s influence on Liverpool, painting a clear picture of how the Dutch manager has orchestrated a tactical evolution that’s capturing the Premier League’s imagination.
Hizi huwa zinaambatana na losses
 
DIAZ + NUNEZ +JOTA.

Nunez hawezi kufunga magoli yakutosha for a team inayopigania ubingwa.

Diaz ni Too inconsistency huelewi ata turn up muda gani.

Jota Fantastic player lakini you just cannot trust him to stay fit for more than a couple of games.

LFC tunahitaji ku fix this in the summer ,Tunahitaji proper attacking rebuild View attachment 3233696
Aje nani?
 
😛😛😛😛😛😛 Yanni jamaa unaongea kama vile mnamiliki mataji 13 ya ligi kuu tangu mwaka 1992 kumbe ni moja tu tena mlilipata wakati wa COVID 19. Sasa hiyo winning mentality huwa inawasaidia nini?

Tuwe wakweli kwa nafsi zetu, nafasi mliyopo kwa sasa hata ninyi hamkuitegemea bali imebebwa na form mbaya ya timu kama chelsea, man city na watoto wasiojua kushinda mataji arsenal!
Tofauti na hapo sioni maajabu ya maana sana toka kwa Slot ila narudia kusema ni zali tu limemkuta huyu jamaa.

Kila Timu inaposhinda taji manayake wapinzani wake wapo vibaya ndiyomana kuwazidi akabeba Kombe.

Hata huyo Man United wenzake walikuwa vibaya ndiyomana akabeba hayo Makombe 13 ya EPL.

Ndiyomana kabeba misimu Makombe 13 kati ya Misimu 23 hii inamaanisha hiyo misimu mengine yeye alikuwa vibaya kukatokea wengine wazuri kuliko yeye.

Hivyo kusema Liverpool anaongoza ligi kwasababu wengine wana form mbovu ni typical nonsense 🚮.

Hata Man City ameshinda Makombe kwasababu hawahawa uliowataja walikuwa wana form mbovu.

Hebu jitahidi uwe na football brain japo kidogo angalau 15% itakusaidia.
 
Basi alikuwa Manyanza 😀
Halafu unaongelea bottling kama booonge la shida. Mbona sisi tunabottle kama tamaduni na wala hatuna stress yoyote.

Mimi Kocha akishindwa kucompete from the start huwa sina shida sana.

Lakini linapokuja suala la bottling kama alivyofanya Benitez, Rogers na Klopp twice huwa sikubaliani nalo hata kidogo.
 
Mimi Kocha akishindwa kucompete from the start huwa sina shida sana.

Lakini linapokuja suala la bottling kama alivyofanya Benitez, Rogers na Klopp twice huwa sikubaliani nalo hata kidogo.
Kwangu mimi huwa naona bora niishie 16 bora

Kuliko kufika fainali nikakosa kombe huwa inauma sana
 
Leo usiku tunakwenda mtaa wa jirani Everton mechi ni ngumu haitabiriki na moyes keshasema anajua gape aliloachwa na liverpool ni kubwa amerudi kuja kulipunguza kama sio kulifunga na kuwa sawa...
Mechi haitabiriki na haijalishi una kikosi bora au dhaifu matokeo ya Merseyside derby huwa ni ya kushangaza atakaye wahiwa ndio kaisha...ila kwa uwezo wake Allah game tutaichukua....ningependa anzishwe Nunez awakimbize na kuwachosha mapema tu tuwafumue mshono.....
YWNA......!
 
Slot anasumbuliwa naakocha wa kireno na wote tumedondosha points maana wanakaa sana nyuma na watumia counter attack.!!
So far wachezaj walipumzika weekend tulitolewa na Plymouth so Leo Everton watatusamehee
Go Go Go Go YWNA
 
Basi alikuwa Manyanza [emoji3]
Halafu unaongelea bottling kama booonge la shida. Mbona sisi tunabottle kama tamaduni na wala hatuna stress yoyote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Eti na wala hatuna stress yoyote.
Ingia jukwaa lenu mwisho wa msimu hio mitusi utakayo kutana nayo huko ndio utajua kua mna stress au hamna[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom