Nunez chance inayosemwa, you'd think ilikuwa on the plate.
Yes, he's a striker, so una-expect angefanya better there, but suala ni kuwa ilikuwa ni easy chance kama ya Jota? NO.
Nunez was marked, he had no time, he had to be sharp kwenye maamuzi, but he failed, na ana-deserve kukosolewa, but he earns a lot of money, and kwa kucheza tu at the top level, alitakiwa ku-do better or even kufunga kabisa, hakuna excuses, na sipo hapa kumtetea Nunez, but fairness iko wapi? Jota had all the TIME in the world, he was unmarked, he was free, he was facing Martinez na goal tu, but he skied the ball bila pressure yeyote, that goal couldve killed Villa momentum, because ile chance ilikuja seconds/a minute baada ya Villa kusawazisha, Jota akazingua, but its only Nunez who gets the blame.
Kwa vipindi vingine, ungeweza kumsamehe Jota, kwa ile chance, but kipi alichofanya msimu huu kinacho-warrant msamaha? so why Nunez tu?
Then what was Szobo doing here? you're an attacking MF, kipi kinakufanya utoe pass, tena ya out of of the post kwa mwenzako ambaye tayari yuko marked, wakati wewe upo clear on GOAL?
"Wachambuzi" tumechukua hata nafasi ya kujadili uzembe wa Szobo hapa? au it doesnt fit the agenda? because Nunez missed a chance?
View attachment 3242553