Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa wanaomjua Dr personally baba saleh,au ambae ana mawasiliano naye ya karibu atupe taarifa ya Hali yake,ni muda hatujamsoma toka baada ya kutujulisha hali yake ya kiafya ilivyokuwa
 
Tukiwa tunajiandaa kupokea Guard of Honour kutoka kwa Arsenal hebu tujikumbushe baadhi ya Vichekesho vilivyowahi kutokea for the past 5 years.

1. Mane ndiye anayeibeba Liverpool na sio MO Salah.

2. MO Salah auzwe tuna Xaqiri wa kuziba nafasi yake ni bora kuliko Salah.

3. Mshabiki wa Arsenal walijazana ujinga na kuaminishana kuwa SAKA ni bora kuliko Salah na wakafikia kuamini kuwa Saka ni best Winger in the World.

4. Origi ni bonge la Striker

5. Jota hawezi kukosa goli kizembe asipokuwpo Timu inayumba.

6. Ongeza na wewe .........
 
Tukiwa tunajiandaa kupokea Guard of Honour kutoka kwa Arsenal hebu tujikumbushe baadhi ya Vichekesho vilivyowahi kutokea for the past 5 years.

1. Mane ndiye anayeibeba Liverpool na sio MO Salah.

2. MO Salah auzwe tuna Xaqiri wa kuziba nafasi yake ni bora kuliko Salah.

3. Mshabiki wa Arsenal walijazana ujinga na kuaminishana kuwa SAKA ni bora kuliko Salah na wakafikia kuamini kuwa Saka ni best Winger in the World.

4. Origi ni bonge la Striker

5. Jota hawezi kukosa goli kizembe asipokuwpo Timu inayumba.

6. Ongeza na wewe .........
Hii namba 5 na mimi nilikuwa mmojawapo😂 NISAMEHEWE KWA KWELI
 
Tukiwa tunajiandaa kupokea Guard of Honour kutoka kwa Arsenal hebu tujikumbushe baadhi ya Vichekesho vilivyowahi kutokea for the past 5 years.

1. Mane ndiye anayeibeba Liverpool na sio MO Salah.

2. MO Salah auzwe tuna Xaqiri wa kuziba nafasi yake ni bora kuliko Salah.

3. Mshabiki wa Arsenal walijazana ujinga na kuaminishana kuwa SAKA ni bora kuliko Salah na wakafikia kuamini kuwa Saka ni best Winger in the World.

4. Origi ni bonge la Striker

5. Jota hawezi kukosa goli kizembe asipokuwpo Timu inayumba.

6. Ongeza na wewe .........
Ongezea Moja , Salah mchoyo wa pasi na ni mbinafs,Bora aondoke abaki Saidoo
 
FB_IMG_1740747696631.jpg

Success has many fathers🎈🎈🎈🎈♥️♥️♦️🟥🔴🔺️🔻
 
RANK THESE LFC ACADEMY GRADUATES

Michael Owen
Jamie Carragher
Steven Gerrard
Trent Alexander-Arnold
Robbie Fowler
Steven MaManaman
Ian Callaghan
Phill Thompson
Steven Gerrald, Trent Alexander- Anold, Steven MacManaman, Phil Thompson, Robbie Fowler, Michael Owen, Jamie Carragher, Ian Callaghan
 
Tukiwa tunajiandaa kupokea Guard of Honour kutoka kwa Arsenal hebu tujikumbushe baadhi ya Vichekesho vilivyowahi kutokea for the past 5 years.

1. Mane ndiye anayeibeba Liverpool na sio MO Salah.

2. MO Salah auzwe tuna Xaqiri wa kuziba nafasi yake ni bora kuliko Salah.

3. Mshabiki wa Arsenal walijazana ujinga na kuaminishana kuwa SAKA ni bora kuliko Salah na wakafikia kuamini kuwa Saka ni best Winger in the World.

4. Origi ni bonge la Striker

5. Jota hawezi kukosa goli kizembe asipokuwpo Timu inayumba.

6. Ongeza na wewe .........
Arteta ni Zaidi ya JK
 
Back
Top Bottom