Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmeanza matusi?
At one time Fabian alikua target ya Liverpool enzi ya gwiji Klopp....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nuno Mendez kabla ya game kuanza alimwambia Salah " You will never walk alone"
Halafu ukiachana na Vitinha kuna tactician wa kuitwa Luis Fabian huyu jamaa ni mido haswa ni underrated player ila ndio engine ya Psg.
🤓 🤓 🤓 🤓 🤓 🤓 🤓 🤓 Saint Anne heloo.Ukiona penalty zimefika golini yupo Allison
Afu wapigaji ni akina Nunez, ujue hamna kazi hapo.
Mpunga wa Uefa ukiwa kinara ni tofauti na aliemaliza wa 2, 3 nkKwamba waliona ni boooonge la diliiiii kuongoza league phase wakati ni suala la kutafuta top 8 au top 24 tu mambo yakae sawa? Kwa hiyo unasema hawa majamaa zetu waliendekeza mbwembwe na misifa (wabongo wanaita 'show-off') kwenye mambo simple?