Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Treble dreamers mpoo 😄😄
Treble si ya kila timu.

RAS-OFF-PLATFORM-MAN-CITY-TREBLE.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nuno Mendez kabla ya game kuanza alimwambia Salah " You will never walk alone"
Halafu ukiachana na Vitinha kuna tactician wa kuitwa Luis Fabian huyu jamaa ni mido haswa ni underrated player ila ndio engine ya Psg.
At one time Fabian alikua target ya Liverpool enzi ya gwiji Klopp....
Ni MF dynamic = cool ruler eneo lake.

YNWA
 
Kwamba waliona ni boooonge la diliiiii kuongoza league phase wakati ni suala la kutafuta top 8 au top 24 tu mambo yakae sawa? Kwa hiyo unasema hawa majamaa zetu waliendekeza mbwembwe na misifa (wabongo wanaita 'show-off') kwenye mambo simple?
Mpunga wa Uefa ukiwa kinara ni tofauti na aliemaliza wa 2, 3 nk

Kwa ma Yankees hapo walichukua chao mapema tu.

YNWA
 
Back
Top Bottom