Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,183
Kama umefuatilia mechi mbili za mwisho za Liverpool na hujui marefa waliboronga kiasi gani, basi wewe kweli utakuwa huchezi mbali na viroba...
Chezeni mpira mnalalamikia marefa ili iweje...michezaji imezeeka mpaka ime expire bado mnaota kuchukua kombe..kanyweni viroba kule..