Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
hongereni kwa ushindi wakuu lakini kwa mpira hule mlio cheza leo mkifanya masiala lille watawafunga alhamis.
midfield yenu ilikuwa mbovu sana ,mpira mbovu,zaidi ya babel,torres na maxi sijamuona mtu mwingine yoyote kacheza mpira wa maana.
mna mmiss sana alonso pale kati.
midfield yenu ilikuwa mbovu sana ,mpira mbovu,zaidi ya babel,torres na maxi sijamuona mtu mwingine yoyote kacheza mpira wa maana.
mna mmiss sana alonso pale kati.
