Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wasipolibeba msimu huu nadhani wanaweza kurudi kugombania position ya 7 na Man Utd Moyo wa kiushindani utakufa na wanaweza kumkosa Suarez wasipobeba kombe.

Chifu, United mwakani ni title contender..ngoja uone spending ya summer..hivyo loserfools wakishindwa mwaka huu, labda watashindana na goons, si nasikia Wenger anaongezewa mkataba bana....
 
hii game liver tunashinda ingawa man city wanakuja kwa kasi xana
 
Liva wana timu nzuri ila hawana mbadala ktk sub


Nalijua Hilo Mkuu! Ndio Maana kwa timu km Chelsea au city Liverpool hawawezi kufurukuta! Ingawa napenda liver ashinde Leo!
 
Hawa majamaa walivyo mashabiki maandazi, ona sasa wamekimbia jukwaa..wanagumia maumivu..


Mkuu Mdudu Nzi Hawa jamaa wanaongea sn wakati timu Yao haina mkakati au Kua serious km Jose na Chelsea!

Wewe unaruhusu mtu asawazishe goli mbili?!!! Nini hii?

Lazima wakimbie sn tu!
 
Last edited by a moderator:
Coutinho kafunga goli zuri saana. Kampany alikuwa anawaza kubutua kijinga kijinga.
 
Chifu, United mwakani ni title contender..ngoja uone spending ya summer..hivyo loserfools wakishindwa mwaka huu, labda watashindana na goons, si nasikia Wenger anaongezewa mkataba bana....

Nadhani ki-spending Arsenal wanaweza kuwa katika hali nzuri msimu ujao kuliko United. Naamini Arsenal ya msimu ujao itakuwa na mabadiliko mengi kuanzia Manager, bado naamini Wenger hatosaini extension inaelekea alikuwa na mpango wa kuondoka msimu huu sema alipush over baada ya SAF ku-retire. Man Utd ya Moyes itahitaji more than 2 seasons kurudi juu plus mtahitaji kununua wachezaji kwanza watakaokuwa na imani na Moyes pili wenye uwezo unaostahili kuvaa jezi kubwa kama yenu.
 
Back
Top Bottom