Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo umeongea kinazi...goons watakuwa vizuri kivipi? Kwa sababu zipi? Unajua United wamesema wapo tayari kutumia pound milioni 200 kwa usajili next summer?!? Sasa nani yupo vizuri hapo?
mm nilisema hii game lazima tushinde kama kawa game Ilizobakia zoote yabidi tushinde ili tubebe ndooo
Sketi hand of god could win the scoursers the league...when all the decisions go in your favour, that is a sign for a champion..
FT 3-2 to Loserfools..
Sio kinazi wala nini, financially Arsenal wapo vizuri. Utd wana big debt kama unavyojua, sababu wamesema wataspend milioni 200 sio kwamba watazitumia hizo pesa zote. Mpaka sasa inaonyesha mna kazi ngumu ya kuattract wachezaji inaonyesha big target wenu Kroos kuna uwezekano akasaini mkataba kubaki Bayern au kwenda Real Madrid. Kuna uwezekano Man Utd wataanza kununua wachezaji wa mafungu kama Arsenal.
Sketi naona kanawa ndani ya boksi...lakini kwa sababu siyo kwa penaltypool...hakuna kitu..
but remember this is
Tatizo umeongea kinazi...goons watakuwa vizuri kivipi? Kwa sababu zipi? Unajua United wamesema wapo tayari kutumia pound milioni 200 kwa usajili next summer?!? Sasa nani yupo vizuri hapo?
Steve G! The Captain! Anadondosha machozi ya furaha! ANALIA....
Loserfools?!?