Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,860
Link steven gerrald amelia machozi ya furaha https://vine.co/v/MJe0zX5mgnH
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BR anasema kitendo cha kukosa big 4 tayari kinakufanya uwe mshiriki zaidi kuliko mshindani. Wale world class players mtashindwa kuwasajili kwa kuwa hamshiriki UCL. Kama hiyo haitoshi mtashindwa kuwashawishi wachezaji wenu wenye ubora kuendelea kuchezea timu isiyo shiriki Cl.
Yes. He isn't. He is a fantastic player, but not world class. He is just English class!
Look at him when he performs with his national team...he is usually at the margin...a world class player should be able to perform at the best level in club and national competitions..
Hehehehe kaka nipo unajuwa hii game ngumu huwezi kuchat na kutizama bora utizame uje baadae vigemu virahisi ndio unaweza kufanya Hivyo ila kiukweli nakiri baada 2-1 nilienda kujichimbia baada muda nikasema game ishakwisha nikasema ndio basi tena alafu baada hapo napigiwa simu Babu yangu wa karibu MZEE MUHIDIN GURUMO ameaga Dunia Mwenyezimungu amlaze mahali pema Peponi Ameen! YNWA! Na msiba kuliko fur aha.Wapi Pazi.
Nzi huu mwaka ni wetu tu hata msemeje?
Hiyo ni fallacy chifu...
Soka la sasa ni pesa tu...
Nimeshawaambia mifano hii:
1. Falcao kwenda Monaco,
2. Ibra kwenda PSG,
3. Toure, Silva, Aguero na Dzeko kwenda City
Hao wote walienda kwenye timu ambazo kipindi hicho hazikuwepo UCL!!
Eti tutashindwa kuwashawishi wachezaji wazuri wabaki!! Coming from a Liverpool fan? Naona mlishindwa kumshawishi Suarez, ndiyo maana sasa yupo Arsenal enh?!?
Kwa hiyo mlivyokosa top 4 for how many years?!? Liverpool mwaka huu umekuwa washiriki zaidi kuliko washindani?!?
Toa unazi kwenye ubongo wako, ili uwe na mjadala huru.
Hiyo ni fallacy chifu...
Soka la sasa ni pesa tu...
Nimeshawaambia mifano hii:
1. Falcao kwenda Monaco,
2. Ibra kwenda PSG,
3. Toure, Silva, Aguero na Dzeko kwenda City
Hao wote walienda kwenye timu ambazo kipindi hicho hazikuwepo UCL!!
Eti tutashindwa kuwashawishi wachezaji wazuri wabaki!! Coming from a Liverpool fan? Naona mlishindwa kumshawishi Suarez, ndiyo maana sasa yupo Arsenal enh?!?
Kwa hiyo mlivyokosa top 4 for how many years?!? Liverpool mwaka huu umekuwa washiriki zaidi kuliko washindani?!?
Toa unazi kwenye ubongo wako, ili uwe na mjadala huru.
Chifu, basi. Maana unasema Arsenal wapo financially better kuliko United. Inaonekana huwezi kuongea bila ya unazi kichwani mwako.
Pamoja na kuwa na deni (ambalo limepungua sana) United wamespend takribani pound milioni 65 kwa Fellaini na Mata...sasa hapo kama si jeuri ya pesa ni nini!!???
Hizo pound milioni 200 zipo kwa ajili ya kutumika...hilo halina mjadala..
Kazi ya kuattract wachezaji ni ngumu kwenye akili zako tu!! Sasa ni pesa tu ndiyo inaongea...hayo mengine ni maneno ya kwenye kanga...kama Falcao alienda Monaco na Ibra akaenda PSG..huku Aguero, Silva na Toure wakienda City..kwanini United ishindwe kuwapata Reus, Kroos, Mangala, Carvalho n.k. kama wakipewa pesa ya kutosha?
Ebu tuweke unazi pembeni ili tuweze kuongea vizuri..
Arsenal wanahitaji kuanza upya, chini ya meneja mpya, Wenger keshafika omega...bila hilo, mtakuwa wa kuishia April kila mwaka...
sikubaliani na wewe hata kidogo Nzi
World class player syo lazma ashine kwenye national team, mfano mzuri ni mtu kama Lionel Messi, mchango wake kwenye Club ni mkubwa kuliko kwenye National team..
Kwa uingereza kuanzia 2000's unapomtaja Gerrard, unamtaja Paul scholes, frank lampard, ambao wote hao ni world class midfielders..
Nzi, unaposema Gerrard syo world class player unakosea sana...
Mtazamo wangu lakini.
Usibishane na watu wanazi unazi siku zote wao hongera hawataki kazi kubadilisha mada mbona sie tu nasema Paul Scholes world class na International alikuwa mbovu? Siku zote tukishinda hawatoi pong enzi hubadilisha mada ili kuwe naubishano tushawazoea akiongea Mwambie ndio arizike basi LFC YNWA!sikubaliani na wewe hata kidogo Nzi
World class player syo lazma ashine kwenye national team, mfano mzuri ni mtu kama Lionel Messi, mchango wake kwenye Club ni mkubwa kuliko kwenye National team..
Kwa uingereza kuanzia 2000's unapomtaja Gerrard, unamtaja Paul scholes, frank lampard, ambao wote hao ni world class midfielders..
Nzi, unaposema Gerrard syo world class player unakosea sana...
Mtazamo wangu lakini.
Lastime mbona hukuongea haya au mpaka Liver imketishe mtu ndiyo unaongea??
Usibishane na watu wanazi unazi siku zote wao hongera hawataki kazi kubadilisha mada mbona sie tu nasema Paul Scholes world class na International alikuwa mbovu? Siku zote tukishinda hawatoi pong enzi hubadilisha mada ili kuwe naubishano tushawazoea akiongea Mwambie ndio arizike basi LFC YNWA!
Hakika..huu mwaka unapaswa kuwa wenu, ingawa inauma..lakini saa zingine kupingana na uhalisia ni sawa na kupigana na ukuta..
Decisions nyingi sana zimekuwa upande wenu mwaka huu..leo tu decisions 3: Sketi kunawa, Flannagan kumwangusha Silva na Suarez kudive mara 2 bila ya kupewa 2nd yellow.
Usibishane na watu wanazi unazi siku zote wao hongera hawataki kazi kubadilisha mada mbona sie tu nasema Paul Scholes world class na International alikuwa mbovu? Siku zote tukishinda hawatoi pong enzi hubadilisha mada ili kuwe naubishano tushawazoea akiongea Mwambie ndio arizike basi LFC YNWA!
Hehehehe kaka nipo unajuwa hii game ngumu huwezi kuchat na kutizama bora utizame uje baadae vigemu virahisi ndio unaweza kufanya Hivyo ila kiukweli nakiri baada 2-1 nilienda kujichimbia baada muda nikasema game ishakwisha nikasema ndio basi tena alafu baada hapo napigiwa simu Babu yangu wa karibu MZEE MUHIDIN GURUMO ameaga Dunia Mwenyezimungu amlaze mahali pema Peponi Ameen! YNWA! Na msiba kuliko fur aha.
Ibrah kaenda PSG kumalzia mda wake wa mpira,
Afu hapo kwa Man city umenichekesha sana, Umemtaja Dzeko kama world class player, afu Gerrard unasema syo world class player...
nendeni kwenye uzi wenu mkabishane sio humu