Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
ss city tulisha mpakata akajifanya kuchoropoka lkn wapi
Teh Teh Teh Teh Teh
Mlikua mnaomba Mpira uishe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ss city tulisha mpakata akajifanya kuchoropoka lkn wapi
Report ya nn, wakat kila mtu aliona mlivyostruggle mpk kushinda..?!
punguzen mahaba na team aisee..
Well said mkuu. Watu bila aibu wanalinganisha kondoo na tembo.
Nyie hamna mahaba! Teh Teh Teh Teh
Mambo ya nyumba ya makumbusho hayo!
nyie ndo mmekazana mnaleta Mahaba humu,
Kwenye game ya Swansea ulipata ushindi wa tabu, hiyo ni Fact, na kila mtu aliliona hilo..
Mbona sisi tunakubal kuwa kwa Man city ilikuwa ni game tafu!!!!..lakin nyie mmejaa mahaba sana..
Mpaka inafikia hatua mtu anafananisha ukubwa wa liver na chelshit, ukimwambia atoe evidence, anakimbilia kusema liver team ya wazee, kwn hyo chelshit ilianzishwa mwaka gan???..na kwanini bas watu wasiifanye kuwa ni kubwa zaid ya Liverpool????
Team imeanzishwa mwaka 1905 unasema team ya vijana hyo, na Azam Fc wasemaje??!
Unachokiwa kusema ni kwamba chelshit ndo inaanza kupata mafanikio kwenye era, ingawa bado haijafika hata robo ya mafanikio tunayoyazungumzia hapa..
the fact kwamba wewe team yako imeanzishwa mwaka 1905 na ina makombe 26 tu ni makumbusho???..
Km Mpira ni Dk90 Wambie wenzako wasiwaze ubingwa au kuota kuifunga Chelsea! Lkn nikiona hoja tu juu ya Chelsea imekaa kushotokushoto km miguu ya Mavumbi Omary lazima nijibu!
Tuko kwa era hii hayo ni makumbusho tu!
Teh Teh Teh Teh
Presha imepanda! Tarehe 27 Sijui hayo mahaba yenu mtayaweka wapi?
Tuko kwa era hii hayo ni makumbusho tu!
World Football / Soccer Clubs Ranking
Updated after matches played on 6 April 2014
RankClub / CountryPoints1-yr change
1
Bayern München
Germany20911
1969
2
Real Madrid
Spain20101
1941
3
Barcelona
Spain19632
1979
4
Paris Saint Germain
France19514
1821
5
Manchester City
England19144
1819
6
Juventus
Italy19111
1863
7
Atlético Madrid
Spain19086
1774
8
Liverpool FC
England189624
1671
9
Chelsea
England18736
1739
10
Benfica
Portugal18530
1801
11
Roma
Italy182750
1623
12
Manchester United
England18158
1911
13
Everton FC
England179915
1682
14
Borussia Dortmund
Germany17899
1870
15
Arsenal
England17832
1719
16
SSC Napoli
Italy17744
1705
17
Schalke 04
Germany176228
1649
18
Shakhtar Donetsk
Ukraine17507
1800
19
Ajax
Netherlands17410
1714
20
FC Porto
Portugal173414
1864
21
Olympiakos
Greece17203
1695
22
Tottenham Hotspur
England17178
1768
23
Sparta Prague
Czech Republic170739
1623
24
Sevilla
Spain170573
1588
25
Fiorentina
Italy169728
1632
26
Borussia Mönchengladbach
Germany169010
1661
27
Athletic Bilbao
Spain1687211
1501
28
Viktoria Plzeň
Czech Republic16847
1700
29
Grêmio
Brazil168312
1652
30
Parma
Italy168075
1582
31
Monaco
France1679184
1512
32
AC Milan
Italy167820
1784
33
Wolfsburg
Germany167584
1571
34
Galatasaray
Turkey167321
1631
35
Celtic
Scotland16712
1660
36
Lille
France16706
1652
37
Zenit Petersburg
Russia167015
1698
38
Real Sociedad
Spain16703
1665
39
Sporting
Portugal1664155
1522
40
Salzburg
Austria1662113
1540
41
Feyenoord
Netherlands16616
1648
42
Dnipro Dnipropetrovsk
Ukraine166022
1622
43
Saint-Étienne
France166016
1624
44
Basel
Switzerland165716
1624
45
Cruzeiro
Brazil1657118
1537
46
Bayer Leverkusen
Germany165028
1719
47
Levadia Tallinn
Estonia16504
1635
48
Metalist Kharkiv
Ukraine16472
1648
49
Fenerbahçe
Turkey16475
1632
50
Lyon
France164223
1689
123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839
Search
Confederations
Countries
Uwa nakaa kimya tu mkuu mos kaa kimya tu chelshit fans hawajui wanaloliongea nisawa na shabiki wa azam kumtambia shabki wa yanga..
hahahahh...
Hamna aliechemka..
tatzo watu waliona hoja zenu hazina mashikooooo..
afu mmetangulza mahaba mbeleee..
Teh Teh Teh Teh
Huko ndio kuchemka kwenyewe Mkuu!
BTW nafurahi sn kujadiliana na nyie nyote, coz Mpira bila mijadala hauendi Mkuu! Na pia thread yenu imekua hai Kidogo Maana kila wakati tuko tunabadilishana hoja!
Teh Teh Teh Teh
Naelewa wengine wanakereka sn Lkn niwaombe tu wazoeee Maana Mpira ndio ulivyo!
Kule kwa thread ya Arsenal na Man City walishanizoea na wananifahamu uzuri tu! Lkn kwa Kua nimeshamaliza biashara na hao na kubakiza na nyie ndio Maana nimeweka kambi Ktk thread yenu humu!
atakaechukia bas atakuwa siyo mshabiki halisi wa team..
hii ndo kazi ya mashabik, yaan kujaribu kujadiliana na kudefend team zako kwa hali na mali..majadiliano na hoja mchanganyiko za kimpira ndo kila kitu katika ulimwengu wa Soccer
Ndo maana hata huwa tunabishaga hodi kule kwenu mara kwa mara..
Mijadala ya kila aina inakaribishwa hapa..so kila mtu ana kaz ya kuprove kuwa team yake ni BORA..
Karibu saaaaaaana..
ila kuna mashabik wenzako huwa wanakuharbia sana Ntuzu, wanazidisha mahaba sana aiseee..
Tupo pamoja.
Soccer ni upendo..