Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

tulia usome uelewe.....nimesoma huyo ni cheat ila uwezo wake wa kucheza mpira 'world class'.....kama ukiamua kuongea kiukweli na si kishabiki utakubali tabia ya SUAREZ ni chafu ila uwezo wake wa soka kila mtu anaujua....i dont hate its the reality he is a cheat but as a footballer he is a world beater.

hivi ungeandika kwa kiswahili pekee ungepata mimba vidoleni? Make kingereza chenyewe hujui!
 
hivi ungeandika kwa kiswahili pekee ungepata mimba vidoleni? Make kingereza chenyewe hujui!

F.off.....wewe mbona hujajiita jina la kilugha chenu unajiita The Magnificent??ungejiita jina la kijijini kwenu ungepata mimba ya matakon.i....msen.ge wewe.
 
Suarez simpendi sn! Ana matukio mabaya mabaya!

mbona mchezaji wenu anachukua wake za watu? tatizo la watu weusi akiitwa mweusi anamaind eti kabaguliwa ------- kabisa evra
 
subiri jumapili; hata City alifikiri ni rahisi..NORWICH cITY wako namba 4 kutoka chini..take care
Mwenzio City leo kaponea ICU...!
Gemu ijayo na Norwich tunajitengenezea goal difference ya 3 au 4 then tunakuwa juu ya City kwa GD pia...coz yeye ana 54 sisi tuna 51.
 
mbona mchezaji wenu anachukua wake za watu? tatizo la watu weusi akiitwa mweusi anamaind eti kabaguliwa ------- kabisa evra

tunazungumzia mambo ya uwanjani...tabia za mpirani ndo tunajadili hapa.
 
We are the team with special spirit!

Teh Teh Teh

You will see dude!

We jamaa kule kwenye thread yenu ya Chelsea huonekani, umehamia kabisa huku unasababisha watu tushindwe kujadili kuhusu timu yetu. Hata kama umepata bwana huku, muachie huyo mumeo ajadiliane na Kops wenzie wewe nenda jikoni kapike. Hatutaki kichefu chefu chako huku, sisi tunaongea habari za BR wewe unakuja na Moureen huku nani anamtaka? Au Una mimba changa maana umetuganda Sana kwenye special thread yetu, utauache bibie hatukutaki huku unaboa mno...
 
We jamaa kule kwenye thread yenu ya Chelsea huonekani, umehamia kabisa huku unasababisha watu tushindwe kujadili kuhusu timu yetu. Hata kama umepata bwana huku, muachie huyo mumeo ajadiliane na Kops wenzie wewe nenda jikoni kapike. Hatutaki kichefu chefu chako huku, sisi tunaongea habari za BR wewe unakuja na Moureen huku nani anamtaka? Au Una mimba changa maana umetuganda Sana kwenye special thread yetu, utauache bibie hatukutaki huku unaboa mno...


Ulukolokwitanga Wewe Kabila gani? Nikuambie kwamba naweza kukujibu niwezavyo Lkn tutaonekana wote wajinga!

Hujalazimishwa kuquote post zng! Ukiona post yng iache!
 
Last edited by a moderator:
Teh Teh Teh Teh Teh

Jidanganyeni tu!

Mkuu tungekuwa tunakuja darajani hapo ma.vi yangekuwa yanagonga chupi najua kabisa hamshindi mkijtahidi ni droo na droo yenu haina madhara kwangu sababu sunderland kanipunguzia presha na everton atakuja kunipotezea kabisa hao man six hahahahaha ni raha tupu!!
 
Ulukolokwitanga Wewe Kabila gani? Nikuambie kwamba naweza kukujibu niwezavyo Lkn tutaonekana wote wajinga!

Hujalazimishwa kuquote post zng! Ukiona post yng iache!

Achana naye huyo hajui tu jinsi unavochangamsha haka kauzi ketu siye tunafurahia uwepo wako hapa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom