. mkuu Rogers akili zake Kama Wenger anatizama kucheza mpira kuliko kukabisha anahitaji fundi msaidizi wakufundisha Hilo kwa msaada Mie simlalamikii Rogers ni Manager Mzuri anaonekana na kaitengeneza timu vizuri wachezaji ndio wenyewe nao wakufikiria so Captain naye sababu kawekwa kwenye ile sehemu nitakwambia kwanini, 1. SG anawekwa pale sababu Hana Speed tena na Hana uzungukaji tena Hana Nguvu atulie acheze Middle zengine ndio ziangaike so SG Ana nusu ya lawama yeye alikuwa a wapange Middle wenzake timu imefanya vizuri SG kuchezeshwa pale angekuwa yeye ndio Anazunguka kila siku tungefungwa watu wangetaka kumpa mpira yeye tu SG so Rogers nampa heshima kumuweka SG ile nafasi SG ndio wakulalamikiwa hajamuamsha Lucas Huyu Lucas ni Lazy kwa umri wake tizama Handerson anavyohangaika hata joey Allen hafai ila bora yake kuliko Lucas ndomana nikasema Middle zenye Nguvu Muhimu sio skill tu na nafurahia watu wanaona ukweli lawama za nani hakuwepo nani ameumia hakuna ndio football wote wanasajiliwa kucheza football Mie napenda middle. arsenal Arteta anakatakata na mashuti nje Carzola anakatakata mashuti nje anapiga City Fenarndinho na Yaya toure wanafanya Hivyo Chelsea Ramires na wenzake wanakatakata na mashuti nje SG hawezi kufanya tena hayo ila anatakiwa kumsukuma Lucas awe Kama Handerson na watu wakufyeka kati ndio wanafanya mabeki waonekane bora inakuwa ngumu kufika mabeki, Arsenal walijifunza kwenye Hilo wamebakisha kujifunza kwenye Striker timu moja tu ilikuwa na kila kitu Chelsea kipa mpaka mabeki na Middle japo wanajifanya striker Hawana wanao ndio wamefanya utumbo, Rogers tu simlalamikii hata chembe bila Huyo tungekuwa na Carroll na Downing na SG ndio angekuwa mbovu Kabisa angezunguka uwanja mzima nusu ya game angeumia Rogers kayaona zamani mipira ingepigwa juu tu kwa Carroll na zsuarez angefunga goli 8 tu kwa Cross zilizokuwa hazina akiili. Watu wengi Arsenal Wanachoshwa na Wenger ila mabeki kajirekebisha so Rogers atajirekebisha muda wa Middle Wenye Nguvu ili SG a toke bench Lucas ndio sitaki kumuona.
Mkuu Pazi, kama unataka Gerrard atokee bench msimu ujao, basi utasubiri saaaana!!!, Ninavyodhani mimi ni kwamba SG amewekwa kwenye middle pale kwa ajili ya penetration passes zile na syo kwamba Kaepushwa na kuzunguka sana uwanjani, BR anatumia mfumo wa 4-3-3 au sometimes diamond formation ya 4-4-2, hizi formation hazihitaji middle ya kukaba sana kama Ramirez au xabi alonso..coz mifumo hii inaendana na Tik-taka formation, ndo maana Barca pale middle ya chini ni sergio Busquet, na siyo Mascherano, hii ni kwa sababu ya zile penetration passes na kuufungua uwanja na kusambaza mipira kulingana na mfumo husika, Hata Bayern Munuch ya sahv ukiingalia, utaona guardiola anawatumia zaidi kina Alcantara, mtu kama Martnez ambaye ni natural namba 6, hatumiki sana pale Bayern, Na ndo maana Unaona mtu kama Luis Gustavo aliondoka Bayern coz mfuma wa pale haumuhitaji mtu kama yeye..
kwa mfumo anao utengeza BR, anamuhitaji mtu kama Gerrard katika defensive role katika kusambaza zile penetration passes, Ndo maana Henderson anakaba na kuziba zaidi nafasi za maadui kuliko Gerrard!!..asa kwa mfumo huu, Lucas hauwezi, hawez kupiga pass kama za Gerrard, ndo maana katolewa kwenye ile middle ya chini, na lucas siyo mzuri kabisa kwenye number zingine!!!
So kwa game kama ya leo, ilikuwa ni simple sana, Unaongoza 3-0, mtoe Gerrard hapo katikati apande juu, chini mweke Lucas awakabie kwa sababu ndo anachokijua hicho!!
BR ni kama Wenger tu, Game ambazo anahitajika Flamini anamuanzisha Arteta, na Game amabazo anahitajika Arteta anamuanzisha Flamini..
Alitakiwa amrudishe Lucas chini, ili kuicover beki mbovu ya liverpool!!, Misimu miwili iliyopita Patnership ya Callagher na Agger au skirtel ilikuwa nzuri sana, kwa sababu Callagher alikuwa na uwezo wa kuipanga na Kuikalipia back four yote pale inapokosea, now Agger ni vice captain, ana uwezo wa kuipanga beki yake na kumkalipia back four yote ikijisahau, kwa sababu ni exprienced na huwa anacheza kwa kurelax, asa back four ya skritel, sakho, GJ na Flanno, nani atamsema au kumpanga mwenzake??..au kumkalipia mwenzake???
BR hawezi kuepuka lawama kwa hik game ya leo..ni kama kwenye ile game ya Aston villa tulipotoka sare ya 2-2 pale Anfield!!!
Hawezi kukwepa lawama.