Nakumbuka el classical ya mwisho kwa gadiola, mou alipaki basi mpaka gadiola akadata, enzi hizo defense ya madrid inaongozwa na pepe na ramos!!! yan barca wakipanda tu, madrid wote wanashuka kulinda goli hahahahaa baada ya hiyo gemu gardiola akatangaza kuamia buyern!!Atleast solution imepatikana. City ni kuwaatack tu. Ukipark meli kama anavyofanyaga Mourinho, lazima wakudukue. The best way of defence is to attack...
[emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pep Guardiola right now [emoji23][emoji23]
View attachment 675512
ENGLAND: Mchezo umemalizika kwa Liverpool FC kuinyuka Manchester City kwa mabao 4 kwa 3 na kuvunja mwiko wa kutofungwa uliowekwa na Manchester City tangu ligi ya msimu huu 2017/18 ianze.
> Magoli ya Liverpool FC yamefungwa na Alexander Oxlade-Chamberlain dakika ya 9, Firmino dakika ya 59, Sadio Manè dakika ya 62, na Mohamed Salah dakika ya 68.
> Huku magoli ya Manchester City yamefungwa na Leroy Sanè dakika ya 41, Bernardo Silva dakika ya 85 na Ilkay Gündoğan dakika ya 90+1.