Wakati nikicheki gemu nilitaka sana liver wawakabie juu kwa speed ili wawaforce mabeki wafanye makosa. Ndicho kilichotokea kipindi cha pili. Guardiola ni mwepesi sana ukimshambulia mwanzo mwisho.Atleast solution imepatikana. City ni kuwaatack tu. Ukipark meli kama anavyofanyaga Mourinho, lazima wakudukue. The best way of defence is to attack...
Nilimshangaa sana.Sub mbovu ya Milner for Can na lallana for sallah karibu zimgharimu klop.
HahahahaPep Guardiola right now [emoji23][emoji23]
Dah Arsenal tunatia huruma. Game ya leo haikuwa ya kupoteza.Masikini Arsenal yangu [emoji86][emoji86]
Can alimnyima raha De Bryne, alimkaba kwa nguvu kitu ambacho Milner hawezi. Sub za klop Mara nyingi huwa za kumbeba adui. Alipowatoa sallah na mane aliwapa unafuu beki na viungo wakabaji wa man city na kupelekea Mpira kuganda kwenye lango LA Liverpool.Nilimshangaa sana.
Can katoa bonge la assist goli la pili, hana card, timu inaongoza 4 kwa 1, hajaumia unaamua kutoa tu.. Klop niliona kachanganyikiwa kabisa.
Hahaha mkuu hapa tumefanana.Hakuna Kitu chochote ninachokipenda au kukishabikia kisiwe Kizuri. Akhsanteni sana Wachezaji wangu wa Liverpool na mwana Liverpool yoyote popote pale ulipo hebu jipongeze na furahi kwani leo tumecheza Soka la aina yake japo mwisho mwisho tulikuwa tunabana sana ' Mambupu ' yetu ili Magoli yote yasirudi kwani Manchester City walikuwa wakifanya come back za hatari. Sasa kwa hiki Kipigo tulichowapa Manchester City kuna uwezekano mkubwa tukijitahidi na kujiimarisha hasa sehemu yetu ya Ulinzi Liverpool FC tunaweza kuishia kuwa nafasi Tatu bora kabisa na juu. Mara nyingi sana Liverpool huwa inafungwa pale tu ikivalia ile Jezi ' Gundu ' ya Njano ila ikicheza mechi zake na kuvalia Jezi Nyekundu huwa na ' baraka ' mno na Timu huwa inashinda halafu magoli mengi tu.
Haya Mimi nililiona hili,kama asingewatoa Man city asingeweza kurudisha goli zile.Sub mbovu ya Milner for Can na lallana for sallah karibu zimgharimu klop.
Sio tu asingeweza kurudisha goli 3, yaani ile sub isingefanyika Manshiti huenda angeongezwa goli 2 zaidi, ingekuwa 6:1Haya Mimi nililiona hili,kama asingewatoa Man city asingeweza kurudisha goli zile.
Definitely Man U wewe....ha ha haa!safi!!!!
Hawana lolote wamewaotea tu,,, game ya pili atakaa tu,, tena kipigi cha mbwa labda sio man jiji
Hakuna Kitu chochote ninachokipenda au kukishabikia kisiwe Kizuri. Akhsanteni sana Wachezaji wangu wa Liverpool na mwana Liverpool yoyote popote pale ulipo hebu jipongeze na furahi kwani leo tumecheza Soka la aina yake japo mwisho mwisho tulikuwa tunabana sana ' Mambupu ' yetu ili Magoli yote yasirudi kwani Manchester City walikuwa wakifanya come back za hatari. Sasa kwa hiki Kipigo tulichowapa Manchester City kuna uwezekano mkubwa tukijitahidi na kujiimarisha hasa sehemu yetu ya Ulinzi Liverpool FC tunaweza kuishia kuwa nafasi Tatu bora kabisa na juu. Mara nyingi sana Liverpool huwa inafungwa pale tu ikivalia ile Jezi ' Gundu ' ya Njano ila ikicheza mechi zake na kuvalia Jezi Nyekundu huwa na ' baraka ' mno na Timu huwa inashinda halafu magoli mengi tu.
hiyo itakuwa ya tatu maana ya kwanza liver alikufa khamsa