Liverpool FC yainyuka Manchester City 4-3 na kuvunja mwiko

Liverpool FC yainyuka Manchester City 4-3 na kuvunja mwiko

Atleast solution imepatikana. City ni kuwaatack tu. Ukipark meli kama anavyofanyaga Mourinho, lazima wakudukue. The best way of defence is to attack...
Wakati nikicheki gemu nilitaka sana liver wawakabie juu kwa speed ili wawaforce mabeki wafanye makosa. Ndicho kilichotokea kipindi cha pili. Guardiola ni mwepesi sana ukimshambulia mwanzo mwisho.
 
Sub mbovu ya Milner for Can na lallana for sallah karibu zimgharimu klop.
Nilimshangaa sana.
Can katoa bonge la assist goli la pili, hana card, timu inaongoza 4 kwa 1, hajaumia unaamua kutoa tu.. Klop niliona kachanganyikiwa kabisa.
 
Pep Guardiola right now [emoji23][emoji23]

358d3f6c403b78d88a08d2caf6b0b158.jpg
Hahahaha
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hongera sana Liverpool. Huo mfupa uliwashinda wengi. Mmepambana mmeuweza.
 
Nilimshangaa sana.
Can katoa bonge la assist goli la pili, hana card, timu inaongoza 4 kwa 1, hajaumia unaamua kutoa tu.. Klop niliona kachanganyikiwa kabisa.
Can alimnyima raha De Bryne, alimkaba kwa nguvu kitu ambacho Milner hawezi. Sub za klop Mara nyingi huwa za kumbeba adui. Alipowatoa sallah na mane aliwapa unafuu beki na viungo wakabaji wa man city na kupelekea Mpira kuganda kwenye lango LA Liverpool.
 
Hakuna Kitu chochote ninachokipenda au kukishabikia kisiwe Kizuri. Akhsanteni sana Wachezaji wangu wa Liverpool na mwana Liverpool yoyote popote pale ulipo hebu jipongeze na furahi kwani leo tumecheza Soka la aina yake japo mwisho mwisho tulikuwa tunabana sana ' Mambupu ' yetu ili Magoli yote yasirudi kwani Manchester City walikuwa wakifanya come back za hatari. Sasa kwa hiki Kipigo tulichowapa Manchester City kuna uwezekano mkubwa tukijitahidi na kujiimarisha hasa sehemu yetu ya Ulinzi Liverpool FC tunaweza kuishia kuwa nafasi Tatu bora kabisa na juu. Mara nyingi sana Liverpool huwa inafungwa pale tu ikivalia ile Jezi ' Gundu ' ya Njano ila ikicheza mechi zake na kuvalia Jezi Nyekundu huwa na ' baraka ' mno na Timu huwa inashinda halafu magoli mengi tu.
Hahaha mkuu hapa tumefanana.
mimi pia shabiki wa damu wa Liverpool tangu nipo mdogo nasikiliza tu mechi zao BBC swahili radio enzi za mawimbi ya shortwave miaka ya 80's mwishoni tunachukua vikombe.
 
Hawana lolote wamewaotea tu,,, game ya pili atakaa tu,, tena kipigi cha mbwa labda sio man jiji
 
Hakuna Kitu chochote ninachokipenda au kukishabikia kisiwe Kizuri. Akhsanteni sana Wachezaji wangu wa Liverpool na mwana Liverpool yoyote popote pale ulipo hebu jipongeze na furahi kwani leo tumecheza Soka la aina yake japo mwisho mwisho tulikuwa tunabana sana ' Mambupu ' yetu ili Magoli yote yasirudi kwani Manchester City walikuwa wakifanya come back za hatari. Sasa kwa hiki Kipigo tulichowapa Manchester City kuna uwezekano mkubwa tukijitahidi na kujiimarisha hasa sehemu yetu ya Ulinzi Liverpool FC tunaweza kuishia kuwa nafasi Tatu bora kabisa na juu. Mara nyingi sana Liverpool huwa inafungwa pale tu ikivalia ile Jezi ' Gundu ' ya Njano ila ikicheza mechi zake na kuvalia Jezi Nyekundu huwa na ' baraka ' mno na Timu huwa inashinda halafu magoli mengi tu.

SASA WEWE UNALETA UCHOKOZI HAPA KWETU,
Kiukweli timu zote zikichezea jezi zake za home zinakuwa katika ubora sana, hata man u
 
Back
Top Bottom