Liverpool imeiumbua E.P.L , sio ligi ngumu kama tulivyoaminishwa

Inshot timu za uingereza zenye uwezo wa kuchukua UEFA ni nyingi kuriko ligi yoyote ile, leo timu kama Man U anaweza shindana na PSG au Bayern ila sio Valencia na Bayern


Sent from my iPhone using JamiiForums
una kichaa, Man u ishindane na bayern ? au Bayern gongo la mboto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unachosema La liga walikuwa wanafanya daily...

Unakumbuka Real madrid kachukua uefa mara 3 mfululizo juzi hapa...

Ingekuwa ni timu ya uingereza imefanya hivyo mngeipamba kwa kila aina ya mapambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado epl ni ligi bora,hata kwa kutazama tu mechi zake una-enjoy,juzi nilikuwa natazama mechi kati ya newcastle na everton aaah ilikuwa bonge la mechi yan

Sasa nenda kajaribu kutazama mechi ya espanyol na sevilla kama hujazima tv..yaani ni heri uangalie mechi ya serie A labda lazio na hellas verona unaweza kupata burudani
 
Liverpool, kamati yao ya ufundi ina kila sababu ya kupongezwa.
 
EPL ukitaka iite kwa kirefu ENGLISH PREMIER LEAGUE.

Ukitaka kujua ni ligi ngumu nitajie mabingwa wa ligi 5 kubwa ulaya ktk misimu 10 alaf majibu baki nayo. Ligi bora haipimwi kwa msimu mmoja.
 
Mwenye kichaa ni ww apo
Man u kamtoa PSG akiwa mbovu kwenye ligi mwaka jana, PSG huyohuyo anamtoa kirahisi au ni tim ngumu kwa Bayern,
Kwa kifupi we ndo kichwa asiejijua


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata Chelsea ya 2012 ilikuwa mbovu kwenye ligi ikachukua uefa ikizifunga Barca na Bayern zilizokamilika huyo jamaa hajui mpira
 
. Ok , Hivi ni mwaka gani vile Barca walibebwa against Chelsea , Chelsea walinyimwa penalties nne za halali , then drogba akamtukana mwamuzi yule mnorway ? Then ineasta akafunga bao zuri
 
Iko sio kipimo sahihi kwani Barca na Madrid wanapendelewa , kumbuka Ramos alivyomuumiza Mo salah bila ya kuchukuliwa hatua yoyote , Chelsea walinyimwa penalties nne halali , Kuna mechi nyingine refarii a kitushiwa kuuwawa na mashabiki wa Chelsea hii ilikuwa na Barca , etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…