Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Uefa na ligi ni vitu viwili tofaut kabisa
Liver alibeba uefa instanbul mbele ya milan ila kwenye ligi alikuwa hata haongozi
Chelsea alibeba uefa akiwa ni wa 6
Madrid hajachukua laliga mfululizo miaka ya karibun ila uefa kaichukua mara 3 mfululizo
Hizi knockout ni balaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini wa fikra huyu mwacheni.Lakini Manchester City alipomfunga Real Madrid nyumbani kwake ulijifanya kama hujuwi kuwa kuna kitu kinaitwa JF kuja kuanzisha uzi si ndiyo?
Liverpool hiihii ilipomfunga Barcelona 4 - 0 pia ulisahau kuja kuanzisha Uzi si ndiyo?
Nyinyi Washabiki wa Matukio bora mushabikie Rede tu mpira una wenyewe.
point less hauna tofauti na Dr mashinjiLakini Manchester City alipomfunga Real Madrid nyumbani kwake ulijifanya kama hujuwi kuwa kuna kitu kinaitwa JF kuja kuanzisha uzi si ndiyo?
Liverpool hiihii ilipomfunga Barcelona 4 - 0 pia ulisahau kuja kuanzisha Uzi si ndiyo?
Nyinyi Washabiki wa Matukio bora mushabikie Rede tu mpira una wenyewe.
Wewe kwa nini hukuja anzisha uzi wako last week mbabe wa la liga alipokarishwa kwake na man city au last season EPL ilipotawala fainali zote tena kwa timu za EPL kuwapa vichapo vikali vikali timu za la liga.... Ligi bora haipigiwi debe mzee.... Chema chajiuza kibaya chajitembeza.Timu ambayo imefungwa mechi moja tuu E.P.L na inaongoza kwa tofauti ya pointi zaidi ya 20 inapigwa nje na ndani na timu iliyopo nafasi ya 6 La Liga ...
Leo ndio mtajua kuwa huwa mnakaririshwa kuwa England is the best league
View attachment 1384987
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka Valencia kapigwa naneTimu ambayo imefungwa mechi moja tuu E.P.L na inaongoza kwa tofauti ya pointi zaidi ya 20 inapigwa nje na ndani na timu iliyopo nafasi ya 6 La Liga ...
Leo ndio mtajua kuwa huwa mnakaririshwa kuwa England is the best league
View attachment 1384987
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu zote hizo ni kubwa na zina history ulaya. Usisahau Liverpool wamecheza fainali mara mbili mfululizo. So usiwabezeTimu ambayo imefungwa mechi moja tuu E.P.L na inaongoza kwa tofauti ya pointi zaidi ya 20 inapigwa nje na ndani na timu iliyopo nafasi ya 6 La Liga ...
Leo ndio mtajua kuwa huwa mnakaririshwa kuwa England is the best league
View attachment 1384987
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi ulifunguliwa kwa mhemko huu. Haujabase kwenye facts kabisaMan city kamfunga real madrid na man city haongozi ligi,msim jana liver alimtoa barca ambae ni bingwa wa laliga je na mimi utakubali nikisema epl ni bora kuliko laliga????kama ubora wa ligi hupimwa kwa kutoana kwenye uefa je EPL itakuwa bora kuliko laliga kwa hayo matokeo hapo?????
Uzi ulifunguliwa kwa mhemko huu. Haujabase kwenye facts kabisa
Robo fainali mwaka huu EPL inaweza ikabaki na timu moja tu ka sio zote, Chelsea safari yao imefika, labda man city anaweza akafika
Sent using Jamii Forums mobile app