Liverpool msimu huu hachukui kombe lolote

Barcelona anaenda kufa camp nou akija anfild hapindui meza.. city anadraw na spurs na leicester liva atashinda mech 3 atadraw ya mwsho then anachukua epl.
Aisee uo mpira unavyouchezea vidoleni kama unajua vile hata kutuliza ngozi
 
Hii ndo inaitwa chunusi, chunusi, chunusi. Haya nenda kabeti sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ili liverpool achukue epl lazima ashide timu zote, halafu man city apoteze point tatu

Swala amabalo ni ngumi kwa upande flan

Liverpool akishinda match zilizobaki na city akashinda bas gardiola anabeba epl
City aki draw tu mechi moja liva akashinda zote .liveepool anakua bingwa
 
Hakuna kombe la Huruma
Sio shabiki wa Liverpool lakini msimu huu natamani wachukue ubingwa! Tangu naanza shule ya msingi mpaka sasa sijawahi sikia wakichukua ubingwa wa EPL! No acheni na wao wachukue msimu huu!
 
Huu uzii ipo siku yatatimia tu

Ni rahisi sana liverpool kuchukua ucl kuliko kuchukua epl
 
Nilishasemaga hawa liverpool hawana kikombe hata cha nzi msimu huu
 
Barcelona anaenda kufa camp nou akija anfild hapindui meza.. city anadraw na spurs na leicester liva atashinda mech 3 atadraw ya mwsho then anachukua epl.
Uwe unajitahidi kusali mkuu..!
Labda hiyo mechi ya mwisho ya Liverpool itakuwa na matokeo uliyotabiri..!
 
Hahaha amka kijana kumekucha huko
Barcelona anaenda kufa camp nou akija anfild hapindui meza.. city anadraw na spurs na leicester liva atashinda mech 3 atadraw ya mwsho then anachukua epl.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…