Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
- Thread starter
- #61
Msimu huu inawezekana kabisa......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaumbuka Tena!Msimu huu inawezekana kabisa......
Wewe ndo ulikuwa mchawi wetu..[emoji23][emoji23][emoji23]Habari wakuu
Najua kuna watu wanamatumain makubwa sanaa na liverpool, huku wakijihakikishia kubeba epl na uefa
Nasikitika kuwatangazia kuwa Kwa gundu alilonalo klop, hatoweza kubeba kombe hata la mbuzi msimu huu
Uefa anaenda kupigwa na barce, epl najua amebakiza match nne, najua anaweza shinda zotee, man city pia kwa hasira alizonazo match ngumu ilikuwa totnhum lakin jumamosi anaenda kuchukia point tatu mhimu ,man city nayeye pia ananafasi ya kushinda match zake tano zilizobaki na kuwa bingwa
Liverpool poleni sana
Sema natafta ule uzi wako wa kukaa kwa shemeji labda kunachangia wewe kuleta utumbo humuMsimu huu inawezekana kabisa......