Liverpool msimu huu hachukui kombe lolote

Liverpool msimu huu hachukui kombe lolote

Barcelona wana bahati ya kipekee sana kukutana na timu yenye washambuliaji majeruhi.

Hongera zenu Barca, mtanijuza matokeo wadau, nalala maana mechi ya leo haitakuwa na ushindani wowote 7bu tayari Barca kashapita
 
Tulompa Liverpool Leo tumeanza kukopa bia
Screenshot_20190507-232219.jpeg
 
Kesho kama nitafukuzwa kazi poa ila ngoja ninywe leo kesho kazini najipa likizo siwezi kuwakosea heshima liverpool my team.
 
Laana ya kupindua matokeo dhidi ya PSG kwa magoli 6-1 ya mbeleko hadi Kocha aliadhibiwa ndiyo yanayoitafuna Barcelona[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]msamehe hajui soka
 
Habari wakuu

Najua kuna watu wanamatumain makubwa sanaa na liverpool, huku wakijihakikishia kubeba epl na uefa

Nasikitika kuwatangazia kuwa Kwa gundu alilonalo klop, hatoweza kubeba kombe hata la mbuzi msimu huu

Uefa anaenda kupigwa na barce, epl najua amebakiza match nne, najua anaweza shinda zotee, man city pia kwa hasira alizonazo match ngumu ilikuwa totnhum lakin jumamosi anaenda kuchukia point tatu mhimu ,man city nayeye pia ananafasi ya kushinda match zake tano zilizobaki na kuwa bingwa

Liverpool poleni sana
Leo naona unafuraha sana
 
Habari wakuu

Najua kuna watu wanamatumain makubwa sanaa na liverpool, huku wakijihakikishia kubeba epl na uefa

Nasikitika kuwatangazia kuwa Kwa gundu alilonalo klop, hatoweza kubeba kombe hata la mbuzi msimu huu

Uefa anaenda kupigwa na barce, epl najua amebakiza match nne, najua anaweza shinda zotee, man city pia kwa hasira alizonazo match ngumu ilikuwa totnhum lakin jumamosi anaenda kuchukia point tatu mhimu ,man city nayeye pia ananafasi ya kushinda match zake tano zilizobaki na kuwa bingwa

Liverpool poleni sana

IMG_5171.JPG
 
Liverpool atachukua UEFA. Tubet kama unabisha.
Habari wakuu

Najua kuna watu wanamatumain makubwa sanaa na liverpool, huku wakijihakikishia kubeba epl na uefa

Nasikitika kuwatangazia kuwa Kwa gundu alilonalo klop, hatoweza kubeba kombe hata la mbuzi msimu huu

Uefa anaenda kupigwa na barce, epl najua amebakiza match nne, najua anaweza shinda zotee, man city pia kwa hasira alizonazo match ngumu ilikuwa totnhum lakin jumamosi anaenda kuchukia point tatu mhimu ,man city nayeye pia ananafasi ya kushinda match zake tano zilizobaki na kuwa bingwa

Liverpool poleni sana
 
Back
Top Bottom