Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Mwl. Amesema kesho atatumia mfumo Wa 1-0-9. Kuhusu atmosphere ya An field amesema yeye na wachezaji wake kamwe hawajawahi kutamani kucheza kwenye uwanja usiochangamka.
Kumbe ni Kinyume Chake!
Ni wazi Alimaanisha Atachezesha Timu Formation ya 9-0-1