Liverpool Vs Manchester City; Njooni tujadili hii game

Liverpool Vs Manchester City; Njooni tujadili hii game

Ashakula mbili za mkwezi
Duuh
IMG_20191110_194749.jpeg
 
N aje guys
Jumapili hii kutakuwa na mpambano wa kukata na shoka pale England hawa vidume wawili kwa mtazamo wangu ndo anapatikana bingwa wa Epl

Huku Liverpool wakiwa kwenye ubora wa hali ya juu msimu huu na hawajapoteza game hata moja wanatarajia kuwakaribisha Manchester city ambao hawajawa na Msimu mzuri ikiwa had sasa hiv wamepoteza mechi mbili.
kwa upande wangu nawapa nafas Manchester city kushinda hii mechi na Bernad Silva kuwa chachu kweny kutingisha ngome ya Liverpool, ;;
Result Ft Liverpool 1-3 Man city
Mkeka umechanika, pole mkuu!
 
Kwagame zao za karibuni naona gemu ni suluhu.

Kama kushinda Man City ana percent mbili zaidi ya Liva kushinda hii gemu. Na sioni magoli mengi unless Liverpool wajichanganye kumfanyie dhihaka Sterling kama Chelsea walivyojichanganya.

Suluhu 52%

Ushindi. Liva 23% na Man City 25%.

Asante Shehe Yahaya
 
Saafi ufalme wa Guardiola naona unaanza kupotea hii ndio England bwanaa
 
Ukuta wa liverpool sio imara sana, ukichukulia mfano wa mechi ya arsenal, na hii ya genk unaona wazi kabisa kuwa vvd ameanza kuwa uchochoro, kwa upande wa anold kuna nafuu nafuu ila ampate mtu kama robertson wanaweza kuwa na chemistry nzuri
Vvd anazidiwa sababu Matip hayupo ..
..hajazoea kucheza na Lovren au Gomez ila akikaaga na Matip kupenya kazi sana labda kama hujafatilia game za liva
 
N aje guys
Jumapili hii kutakuwa na mpambano wa kukata na shoka pale England hawa vidume wawili kwa mtazamo wangu ndo anapatikana bingwa wa Epl

Huku Liverpool wakiwa kwenye ubora wa hali ya juu msimu huu na hawajapoteza game hata moja wanatarajia kuwakaribisha Manchester city ambao hawajawa na Msimu mzuri ikiwa had sasa hiv wamepoteza mechi mbili.
kwa upande wangu nawapa nafas Manchester city kushinda hii mechi na Bernad Silva kuwa chachu kweny kutingisha ngome ya Liverpool, ;;
Result Ft Liverpool 1-3 Man city
And vice versa is true
 
Back
Top Bottom