Livescore-Yanga Vs Ndanda FC 'WANA KUCHELE' 01/02/2015

kikosi cha ushindi kabisa hiki....
 
Ehee leteni updates,leo n itakuwa bize na simu hata kama mchepuko wangu ukimaindi
 
Mbona huu utangulizi unatukashifu wana yanga ungetuachia wenyewe tuanzishe uzi wetu ..cc sio yeboyebo

Ukiona hivyo ujue mikia hao au almaarufu Mbumbumbu (Ismael Aden Rage). Katika vitu vichache alivyosema ukweli Rage ni hilo!
 
Washambuliaji wa yanga hawapo organized.Kila mmoja anajali kufunga yeye kuliko timu ishinde.Hasa Mrwanda na Sherman.
 
Ehee leteni updates,leo n itakuwa bize na simu hata kama mchepuko wangu ukimaindi

mkuu hata mimi nipo na mchepuko wangu leo ila akili yote iko jukwaa la michezo, ngoma inagoma kuinuka for second round mpaka Yanga washinde
 
mkuu hata mimi nipo na mchepuko wangu leo ila akili yote iko jukwaa la michezo, ngoma inagoma kuinuka for second round mpaka Yanga washinde
huo mchepuko utakuwa si shabiki wa yanga huo...piga chini!
 
Hivi mpaka kuishabikia yanga unakua umekosa nini katika huu ulimwengu wa soka.?au ndo malezi mabaya.??
 
Hivi mpaka kuishabikia yanga unakua umekosa nini katika huu ulimwengu wa soka.?au ndo malezi mabaya.??

Tuwaulize wa simba mnaoshabikia, kwanza unaanzaje kuipenda? mimi hata siwaelewi na huwa na wasiwasi na watu walio simba.
Hainiingii akilini mtu na akili zako eti shabiki wa simba uwiii.
 
Narudia tena msuva ni kijana wetu, yupo kandambili kwa kazi maalumu.


Ni kazi gani hiyo,
acha kuleta migogoro jangwani migogoro huko huko kwenu msimbazi.
 
Mpira hauchezwi kwa cross multiplication: Kagera Sugar iliifunga Simba na Ndanda ikaifunga Kagera, sasa mbona Simba iliifunga Ndanda? Kwa mahesabu hayo, Ndanda ilitakiwa iichakaze vibaya SSC.

Subiri kifo kibaya cha hao wamachinga.

Hakuna hoja hapo, subiri kifo chenu tu. Timu ni mbovu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…