grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Half time yanga 0-0 ndanda
Muda si mrefu mtu anafukuza kocha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Half time yanga 0-0 ndanda
HALF TIME:
Yanga 0 - Ndanda FC 0.
Kipindi cha pili Yanga itatupa raha, ligi ngumu lakini tutailainisha.
yanga wanatatizo hawajui counter attack wanaenda taratibu wakati counter unaenda kasi ili kuwe na mabeki wachache pia tatizo linguine ni kupiga cros za polepole zinazodakwa au kuzuiwa na mabeki kirahisi cross inatakiwa kama shuti mtu hawezi kuihandle kirahisi
Usijali mkuu Amavubi,
Mimi nitareport goli la kwanza la yanga litakalofungwa ndani ya dakika 10 za mwanzo za kipindi cha kwanza, baada ya hapo nitawaachia kijiti wenzangu aakina Makoye matale, Bantulady, NGANU, na yahoo waendelee kuripoti magoli mengine kuanzia goli la pili hadi la tano.
We we we we we we!!!!Muda si mrefu mtu anafukuza kocha
Ngapi ngapi mpaka sasa??
Hamna timu nyie, kazi kuongea tu. Washambuliaji watatu wapya wameongezeka ndani ya dakika 45 hakuna bao la kuotea.HALF TIME:
Yanga 0 - Ndanda FC 0.
Kipindi cha pili Yanga itatupa raha, ligi ngumu lakini tutailainisha.
Hamna timu nyie, kazi kuongea tu. Washambuliaji watatu wapya wameongezeka ndani ya dakika 45 hakuna bao la kuotea.
matokeo vp huku?
Yanga watapigwa.Yanga 0-0 ndanda. Ila muda si mrefu scoreboard itabadilika namba.
Dk 1 kipindi cha pili Barthez amekoswa koswa, ametoa nje ni kona kuelekea Yanga. Daah
Serunkuuma anagoli 3 leo . Vip Tambwe na Mliberia kwa pamoha wanagoli ngap???????
Hamna timu nyie, kazi kuongea tu. Washambuliaji watatu wapya wameongezeka ndani ya dakika 45 hakuna bao la kuotea.