Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paul Ngalema anaisumbua saba backline ya yanga.
Ni kazi gani hiyo,
acha kuleta migogoro jangwani migogoro huko huko kwenu msimbazi.
wataachia tu...tuwape muda watuburudishe kwanzaDakika ya 42: Yanga 0-0 Ndanda.
nadhani hawako wenyewe hawa...Ndanda wamekuja wenyewe au na zana zao? ila wataachia tu.
nadhani hawako wenyewe hawa...
Watakupa machungu, tulia tu.
HALF TIME:
Yanga 0 - Ndanda FC 0.
Kipindi cha pili Yanga itatupa raha, ligi ngumu lakini tutailainisha.
Ni kazi gani hiyo,
acha kuleta migogoro jangwani migogoro huko huko kwenu msimbazi.
Usijali ndugu,Mkolaj tunakusubiri utangaze goli la kwanza tuendelee na mengine.