grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Ndanda kumfunga yanga ni sawa na paka kumkimbia panya.
Muulize Azam kilichomkuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndanda kumfunga yanga ni sawa na paka kumkimbia panya.
kama kuanzia viongozi, makocha na wachezaji takribani 23 kati ya 27 walionao ndanda fc ni wapenzi wakubwa wa yanga leo unategemea nini taifa? twendeni tu kwakuwa hatuna pa kwenda ila leo kuna karamu ya magoli taifa. umeshamwona mmakonde anaipenda simba? wengi wao ni yanga lia lia na wanaipenda yanga kuliko hata hiyo gesi mnayodai ipo huko ntwara.
View attachment 223300yeboyebo
vs
View attachment 223301wana kuchele
Historia ya Ugenini Inawabeba Ndanda FC
Kama kawa naelekea uwanjani...........
Bantu Lady, Masuke, Shark, Revocatus Kashaja, Grafani, Bello, Sembu, Mkolaj na Makoye Matale (leo siyo Sabato), yahoo etc chukueni jahazi la kutuarifu yanayojiri .............
Yanga 0 Ndanda 1. FT
Muulize Azam kilichomkuta
Tuko pamoja mkuu, tuna imani na Ndanda FC
Yanga 0 Ndanda 1. FT
View attachment 223300yeboyebo
vs
View attachment 223301wana kuchele
Historia ya Ugenini Inawabeba Ndanda FC
Kama kawa naelekea uwanjani...........
Bantu Lady, Masuke, Shark, Revocatus Kashaja, Grafani, Bello, Sembu, Mkolaj na Makoye Matale (leo siyo Sabato), yahoo etc chukueni jahazi la kutuarifu yanayojiri .............
nakusanya nyuzi za aina hii, kama kunamwingine auweke hapa maana ndio natoka sasa nikawahi parking
mmmh mto utiririshe maji kuelekea mlimani....Ndanda piga yanga mbili bila