tehe tehe tehe nenda kwenye page ya jokate insta labda ukiona picha nyingi ndio utajua ni yeye kweliwe si umeona Jay anasalimiana nae kama wana juwana!....pia ingekuwa ni joket anasha post sehemu kibao....ni mtu tu kafanana nae wabongo tumempa Kick kick
baelezeeKitu msichokijua ni kuwa Jokate alizaliwa Washngton DC Huko US ndio akaja kuishi TZ
Hee! Hawa jamaa vipi? Embu ona mtoto wa Jay Z kavaa zile raba za DHL (Dingi hana uwezo) na pia ona kituko alichovaa Beyonce, iyo nguo pamoja na umasikini wangu hata siwezi kuivaa! Kweli maisha ni yale yale tu...
Mkuu, maisha ni yale yale tu. we breath the same air, share the same sun and moon hata kifo ni kile kile tu, ila sasa utofauti uko kwenye mzigo ulioko kwenye bank account.
Hebu ulizia bei ya hivyo vitu walivyovaa thamani yake unaeza ukauza hio nyumba yenu ya urisi? Halafu Ujue mwenzio ni mwanamitindo wewe endelea kuvaa Madera tuHee! Hawa jamaa vipi? Embu ona mtoto wa Jay Z kavaa zile raba za DHL (Dingi hana uwezo) na pia ona kituko alichovaa Beyonce, iyo nguo pamoja na umasikini wangu hata siwezi kuivaa! Kweli maisha ni yale yale tu...
Yes ndo maana hapo juu nkaweka hizo picha za bei mkuu watz tunarahisisha vitu tuzivovijua ukwel wake kama mtu hujui ukwel bora ukae kimyaHebu ulizia bei ya hivyo vitu walivyovaa thamani yake unaeza ukauza hio nyumba yenu ya urisi? Halafu Ujue mwenzio ni mwanamitindo wewe endelea kuvaa Madera tu
Habari wadau...
Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...
Ambapo alipata favour ya NBA africa kumsogeza na kusalimiana na Jay z na beyonce
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii picha ipelekwe Kwa mkemia mkuu ili tujue kama ni bint kidoti kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kupiga tu hiyo picha ndio kapeperusha bendera.Hongera Jokate kwa kuipeperusha bendera ya Tanzania
Wanaweza kukubishia hata Syria hakuna vita.ha haaa haaa yaani upo serious kabisa eti sio joketi!
kuna watu wabishi aseee
Ndiyo mkuu! Kanajiuliza "what IS this?"Hako katoto Mbona kanamshangaa Sana Huyo anayeitwa jokate??
Joket uyo babu lai[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni mtu mwingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ohooooooo
Tanzania kila kitu tuko nyuma, ila Jokate ameona isiwe tabu ajitoe ufahamu ashoboke ili aipeperushe bendera ya Tanzania, anastahili mapokezi makubwa uwanja wa Taifa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kupiga tu hiyo picha ndio kapeperusha bendera.
Unamjua kwanza kidoti mwenyewe au unabisha tuhizi media za bongo ni hovyo kabisa.....uyo sio Joketi.