Living the dream: Jokate akiwa na Jay Z na Beyonce kwenye NBA all star game

Living the dream: Jokate akiwa na Jay Z na Beyonce kwenye NBA all star game

we si umeona Jay anasalimiana nae kama wana juwana!....pia ingekuwa ni joket anasha post sehemu kibao....ni mtu tu kafanana nae wabongo tumempa Kick kick
tehe tehe tehe nenda kwenye page ya jokate insta labda ukiona picha nyingi ndio utajua ni yeye kweli
 
Hee! Hawa jamaa vipi? Embu ona mtoto wa Jay Z kavaa zile raba za DHL (Dingi hana uwezo) na pia ona kituko alichovaa Beyonce, iyo nguo pamoja na umasikini wangu hata siwezi kuivaa! Kweli maisha ni yale yale tu...
2920f7e40224cee6df01c021c00e9392.jpg
1d758332ffea6d94364f1ec2092f7033.jpg
 
Hee! Hawa jamaa vipi? Embu ona mtoto wa Jay Z kavaa zile raba za DHL (Dingi hana uwezo) na pia ona kituko alichovaa Beyonce, iyo nguo pamoja na umasikini wangu hata siwezi kuivaa! Kweli maisha ni yale yale tu...
Hebu ulizia bei ya hivyo vitu walivyovaa thamani yake unaeza ukauza hio nyumba yenu ya urisi? Halafu Ujue mwenzio ni mwanamitindo wewe endelea kuvaa Madera tu
 
Hebu ulizia bei ya hivyo vitu walivyovaa thamani yake unaeza ukauza hio nyumba yenu ya urisi? Halafu Ujue mwenzio ni mwanamitindo wewe endelea kuvaa Madera tu
Yes ndo maana hapo juu nkaweka hizo picha za bei mkuu watz tunarahisisha vitu tuzivovijua ukwel wake kama mtu hujui ukwel bora ukae kimya
d14815b20635f54f1db8227f18688d5a.jpg
4e9109b5d9f43bbfe7950feaa0741e47.jpg

Hizi ndizo bei
 
Habari wadau...
Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...

Ambapo alipata favour ya NBA africa kumsogeza na kusalimiana na Jay z na beyonce

Hichi kidemu cha kibongo kinapenda kushoboka mpaka hako katoto kanashangaa
 
Mkanyeni huyo Jay Z asimshobokee mke wa king kibakuli,fans wa king wakimuanzishia mvua ya matusi hataweza kupona!...kama anabisha awaulize WCB
 
Jay Z namfahamu na huwa nasikiliza mziki wake. Huyo mwingine mnayemzungumzia ni nani?
 
Nashangaa Diamond kufika tu Gabon kapewa hadi bendera ya taifa,lakini Joketi kafika hadi marekani lakini hajapewa bendera na waziri kisa yuko karibu na king kiba,huu uteam naona sasa umeingia hadi kwa viongozi wakubwa!
 
Back
Top Bottom