PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Duh!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Eti utakuta ni linjemba lenye manyoya mpaka makalioni ndio limetoa hii comment kisa uteam ushuzi ushuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Eti utakuta ni linjemba lenye manyoya mpaka makalioni ndio limetoa hii comment kisa uteam ushuzi ushuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana na Tomaso mkuu utapoteza mda
Na Akon kapiga nae...Jokate kajilipua huko US..Duuh kweli humu kuna watu wabishi ila picha zimewaumbua,nilimuona pia katuma pic yupo na vice president wa world bank hkohko USA
Hii picha ipelekwe Kwa mkemia mkuu ili tujue kama ni bint kidoti kweliHabari wadau...
Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...
Ambapo alipata favour ya NBA africa kumsogeza na kusalimiana na Jay z na beyonce
Ulitakaje? HaterBeyonce mbona hana habari kala mkausho mkali
Ni nani?uyo sio Joket mkuu
Mbona amepostwe si umeona Jay anasalimiana nae kama wana juwana!....pia ingekuwa ni joket anasha post sehemu kibao....ni mtu tu kafanana nae wabongo tumempa Kick kick
N kawaida sanaHabari wadau...
Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...
Ambapo alipata favour ya NBA africa kumsogeza na kusalimiana na Jay z na beyonce
Hashim lazima atumbukize,rip kiba
Hakajawahi kusikia hiyo accentHako katoto Mbona kanamshangaa Sana Huyo anayeitwa jokate??