Living the dream: Jokate akiwa na Jay Z na Beyonce kwenye NBA all star game

Living the dream: Jokate akiwa na Jay Z na Beyonce kwenye NBA all star game

Habari wadau...
Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...

Ambapo alipata favour ya NBA africa kumsogeza na kusalimiana na Jay z na beyonce
Hii picha ipelekwe Kwa mkemia mkuu ili tujue kama ni bint kidoti kweli
 
Huyo bodyguard kama anataka amwahi vile.
 
wazungu huwanga hawashangaagi watu na hawanaga habar na mtu but hao wanyuma wana mshangaa huyo aliyeweka rasta kwa kutumia nywele zinazotoka kwaoo, na ile nanliu ya manzese darajani palee

√√Alikiba√√
 
2124f4f61cdc475e004a928e371bcf2a.jpg
46edca805ed4143126a69befd0be75bb.jpg

Jojos Day
 
Habari wadau...
Hii awamu ya kuisoma namba ni kweli namba tunaisoma wote au watumishi tu..Mfanyabiashara maarufu wa nywele za kidoti amejipa outing kidogo ya kwenda kuchek NBA all star game...

Ambapo alipata favour ya NBA africa kumsogeza na kusalimiana na Jay z na beyonce
N kawaida sana
 
Kitu msichokijua ni kuwa Jokate alizaliwa Washngton DC Huko US ndio akaja kuishi TZ
 
Alikataliwa kupiga picha na Jay z amri ilitoka kwa beyonce!
 
Back
Top Bottom