figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mbunge wa Mtera Livingston Lusinde almaarufu kama Kibajaji, amewashukia kama mwewe Wabunge na Viongozi wa Serikali 'wanaomsema Vibaya Magufuli'. Akiongea kwa jazba huku na kutokwa povu, alijikita kwenye hoja hizi:
1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli
2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli
3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia
4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika
5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia
6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?
7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.
MY TAKE:
Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?
Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?
Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?
Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?
Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?
Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025
Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.
Pia, soma:
www.jamiiforums.com
1). Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna baadhi ya Watanzania na Wabunge wanamsema Vibaya Magufuli
2). Leo najitoa Muhanga, haiwezekani tuwe na viongozi ambao wanajaribu kupinga mambo mazuri aliyoyafanya Magufuli
3). Wanaomsema vibaya leo Magufuli, Watamsema kesho Samia
4). Huwezi kuondoa legacy ya Magufuli kwenye nchi hii na bara la Afrika
5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia
6). Leo hawa watu wanamsema Vibaya Magufuli sisi tupo na hata 40 haijaisha?
7) Mheshimiwa Spika hili jambo halikubaliki, Hawa watu washike adabu na adabu ziwashike, hatutaki warudie Mambo ya kipuuzi kama haya.
MY TAKE:
Je, Amani yetu mnataka muifanye nini, na Kwanini hutaki kumuita HAYATI Magufuli unamuita Magufuli tu?
Je, hao Wabunge ni wa Chama gani na Viongozi wa Serikali ipi?
Je, Chama hakina vikao halali vya kuongelea Maswala ya chama?
Je, kumtetea Magufuli lazima utumie lugha ya Matusi, Kejeli, dharau na Uongee kwa Sauti ya Juu ndo uonekane Unamtetea?
Je, Kibajaji ni lini utaandika Kitabu cha Kumuenzi Hayati Magufuli?
Je, Kibajaji unadhani kujikomba kwa Marehemu na Kumuona Mama Samia(Mwenyekiti wa Chama chako) kama si lolote si chochote, itakusaidia kupata Ubunge 2025
Polepole atakuponza, Mwenzio hagombei. Anakutanguliza mbele kupima upepo. Kwanza na chama kipya kinachoanzishwa hakitatoboa, kisubiri Uchaguzi wa 2024 na 2025 uishe.
Pia, soma:
Nape ataka Akaunti ya Deni la Taifa ichunguzwe na iwekwe bayana Fedha hizo zilikopwa na kupelekwa wapi?
Mbunge wa MTAMA Nape Nnauye amesema deni la Taifa limekuwa kwa kasi sana ndani ya miaka 5 iliyopita na kusema japo Serikali inadai ni himilivu hali sio nzuri Nape ameongeza kuwa Serikali ya awamu ya 5 ilikopa mikopo mingi huku asilimia 40 ya mikopo hiyo ikiwa ni ya kibiashara hivyo kuwa na riba...