Livingston Lusinde: Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna wanaomsema vibaya Magufuli

Livingston Lusinde: Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna wanaomsema vibaya Magufuli

Huyu Lusinde ni mpumbavu kama wapumbavu wengine maandiko yasema na alaaniwe amtegemeaye mwanadamu mwenzie.
 
Hakuna asiyesemwa kibajaji aache kujipendekeza mbona Kikwete alisemwa sana kwan yy sio mtu?
 
Atalazimishaje kila mtu amchukulie magu kama anavomchukulia yeye? Jinga kabisa magu ni nan asikosolewe mama Janet mwenyewe kapendeza baada ya kufiwa🤣🤣🤣🤣🤣
Wajameni naona kama VILE ni kweli ....🤣 🤣
 
Watu wanataka kutembelea mgongo wa JPM.
JPM was the man himself, jeshi la mtu mmoja from nowhere akaamua tu kukomesha pumbavu

Sijaona bado kwenye mifumo na siasa mwenye kufanana na JPM labda mtaani huku wapo na system inawakataaa tu...

Binafsi siku nikipata nafasi ya kuongoza hii nchi nitakuwa mtemi, katili na mnyama zaidi ya JPM, JPM bado alikuwa na huruma sana, binafsi hata hiyo huruma sitokuwa nayo...PUMBAVU ndio kikwazo cha maendeleo ya nchi hii....

Jitu linahujumu miundombinu watu wakose umeme lenyewe lipate hela, Nguzo za umeme from TZ zinakwenda tunduma zinageuza zinapigwa nembo tunaambiwa zimetoka SA...Hivi ukiwa Rais unafanyaje dhidi ya hizi pumbavu kama sio kutoa roho na kuzipoteza kabisa na wengine wajifunze...
 
Sawa kabisa. awakaange tu maana wote ni magu alilazimishwa watangazwe kuwa washindi wa ubunge. lazima waache kumsema vibaya. Hawana adabu kabisa hawa!!
 
Hiyo namba 5 kama alitamka kwa kinywa chake basi taratibu tutajua michongo mingi iliyofanyika huko awamu ya 5.
 
birdman2.png

BS
 
Kuna haja ya kuwa na kiwango cha chini cha elimu kabla mtubhajagombea ubunge. Yaani bingu lina wabunge wanaopigania maiti!
Bingu manayake nini we kisirani.
Mbona wewe huyo maiti anakunyima usingizi nawenzako mkisikia katajwa tu mnakurupuka kuzima jinalake.

Alikuwa mtu wa haki ndio mana wachumia tumbo mtakufa nakinyongo mkimkumbuka mbaka mnakataroho.
 
Watu wanataka kutembelea mgongo wa JPM.
JPM was the man himself, jeshi la mtu mmoja from nowhere akaamua tu kukomesha pumbavu

Sijaona bado kwenye mifumo na siasa mwenye kufanana na JPM labda mtaani huku wapo na system inawakataaa tu...

Binafsi siku nikipata nafasi ya kuongoza hii nchi nitakuwa mtemi, katili na mnyama zaidi ya JPM, JPM bado alikuwa na huruma sana, binafsi hata hiyo huruma sitokuwa nayo...PUMBAVU ndio kikwazo cha maendeleo ya nchi hii....

Jitu linahujumu miundombinu watu wakose umeme lenyewe lipate hela, Nguzo za umeme from TZ zinakwenda tunduma zinageuza zinapigwa nembo tunaambiwa zimetoka SA...Hivi ukiwa Rais unafanyaje dhidi ya hizi pumbavu kama sio kutoa roho na kuzipoteza kabisa na wengine wajifunze...
cha msingi nduli yuko futi 6 ardhini.
 
Yote Tisa, kumi alilotaka kulisema ni hilo namaba 5, "5). Wabunge tuko humu ndani sababu ya Magufuli na Samia, kuna watu wako humu walikuwa hawachaguliki, akawatetea Wakachaguliwa sababu ya Magufuli na Samia"

Ni kweli kama uliingia bungeni kwa ujanja ujanja tu wa Tume kwa amri ya Magu, kwanini usisifie hata pumba. Je anajua kuwa ile mifuko ya Sandarusi iliyokuwa inaelea baharini sasa hivi haipo tena? Hii ni sababu kubwa ya kumkosoa Magu, na ni ushindi kwa watanzania. Na vile vile ni FUNZO kwa kiongozi yeyete ajaye kutoiga hilo ambalo ni ufunjaji mkubwa wa haki ya binadamu ya kuishi.

Pampja na Wa ETHIOPIA WANA VITA KALI SASA HIVI, lakini hiyo mifuko nhaionekani, kwa sababu walikuwa wanasema eti Sandarusi hizo ni za wakimbizi wa ki- Ethiopia. Du siasa achana nazo, ukifa ndio midomo ya watu inatapika mabaya yako yote.
 
Back
Top Bottom