Livingston Lusinde: Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna wanaomsema vibaya Magufuli

Livingston Lusinde: Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna wanaomsema vibaya Magufuli

Mtu kama huyu anatakiwa aende akapate elimu japo ya O-level ndio anaweza kujielewa, tofauti na hapo ni kuendelea kuwa na watu wa ajabu kabisa ktk kutunga sheria za nchi.

Na ipigwe marufuku kama huna japo degree 1 mtu asiruhusiwe kugombea ubunge.
 
Na wengine wanamkumbuka kwa mabaya aliyowafanyia katika nchi yao wenyewe kisa kuwa rais akapata passport ya kutesa wengine.

wapo waliofanyiwa mabaya kwa wao kutenda maovu kwa watanzania, katika harakati hizi kuna watu lazima waumie kwa kufuata mkumbo na wengine hata kufa.... Akiwa kama kiongozi wa dola masikini lililojaa wanyonyaji hilo haliepukiki..... Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo mimi na wewe tunayo, InshaAllah mwenyezi Mungu amsamehe katika hayo..
 
PUMBAVU nyingi kama alivyokuwa anazipenda yeye mwenyewe Magufuri, kwanza hakupenda ukweli,pili alikuwa msaliti,tatu alikuwa mchoy na mwisho mwuaji.

Ukweli upi alioukataa, usaliti upi alioufanya...uchoyo upi alioufanya...Alimuua nani?....
 
Jitu linajikomba kwa mafunyo funyo huyo kashaliwa na funza magu wenu na harusi milele pumbavu zake.
 
wapo waliofanyiwa mabaya kwa wao kutenda maovu kwa watanzania, katika harakati hizi kuna watu lazima waumie kwa kufuata mkumbo na wengine hata kufa.... Akiwa kama kiongozi wa dola masikini lililojaa wanyonyaji hilo haliepukiki..... Mengine ni mapungufu ya kibinadamu ambayo mimi na wewe tunayo, InshaAllah mwenyezi Mungu amsamehe katika hayo..
Je wanyonyaji wa nchi hii walikuwa wapinzani wa Serikali ya ccm?
 
Je wanyonyaji wa nchi hii walikuwa wapinzani wa Serikali ya ccm?

Inawezekana pia wanyonyaji wakawatumia wapinzani kwa njia za gizani kuitingisha dola....refer utawala wa JK na team EL walichomfanya kupitia matajiri waliokuwa nyuma ya EL...
TL zile documents alizokuwa anamuomba Mwanyika gizani alikuwa anataka za nini..unafahamu dola inaweza kutrap mawasiliano na info za kila mmoja wetu na kudeal nazo...Yapo meengi ambayo hatuwezi kujadili kwa sababu ya ushabiki wa kisiasa....ila tambua dola inafahamu mengi ambayo watu wanafanya gizani..
 
Na kwanini heshima ilazimishwe? Mbona nyerere anaheshimika hadi na watoto
Sio kweli kuna mtu alisema nyerere alizoea vya kunyonga na hana maana yoyote kwa tanzania na bara la afrika.
 
Inawezekana pia wanyonyaji wakawatumia wapinzani kwa njia za gizani kuitingisha dola....refer utawala wa JK na team EL walichomfanya kupitia matajiri waliokuwa nyuma ya EL...
TL zile documents alizokuwa anamuomba Mwanyika gizani alikuwa anataka za nini..unafahamu dola inaweza kutrap mawasiliano na info za kila mmoja wetu na kudeal nazo...Yapo meengi ambayo hatuwezi kujadili kwa sababu ya ushabiki wa kisiasa....ila tambua dola inafahamu mengi ambayo watu wanafanya gizani..
Hayo yangejibiwa kwa uwazi kupitia majukwaa ya siasa,mijadala ya Bunge na kwenye vyombo mbalimbali vya habari kama vile TV,Magazeti,Redio na mitandao ya kijamii,lakini vyote hivyo(TRANSPARENCY) Magufuri hakutaka bali alipenda kusifiwa sifiwa tu yeye na chama chake.
 
Hayo yangejibiwa kwa uwazi kupitia majukwaa ya siasa,mijadala ya Bunge na kwenye vyombo mbalimbali vya habari kama vile TV,Magazeti,Redio na mitandao ya kijamii,lakini vyote hivyo(TRANSPARENCY) Magufuri hakutaka bali alipenda kusifiwa sifiwa tu yeye na chama chake.

sio kila jambo ni transparency.....mengine ni yandani yanabaki mali ya dola maana ukiambiwa na usiambiwe bado utapinga tu...
 
Hawaamini kwamba alishadanja na habari yake imekwisha. Hata Nyerere alipofariki Kuna watu walitusumvua sana kujifanya wanampenda mno lakini Leo hata siku ya kumbukumbu yake tumeishia kushuhudia Rais akimtukuta mfu wa Chato. Nyerere keshasahaulika kwa hiyo mwambieni kibajaji kwamba hilo nalo litapita avumilie tu.
 
sio kila jambo ni transparency.....mengine ni yandani yanabaki mali ya dola maana ukiambiwa na usiambiwe bado utapinga tu...
Kwenye enzi za kijamaa lazima yawepo kwa ndani na yabaki mali ya dola lakini enzi hizi za GLOBALIZATION kila jambo linajulikana hivyo uovu wa Magufuri upo katika kupenda sifa za kijinga na kuchukia uwazi,halafu huo ubadhirifu wa kutoa nguzo Mufindi na kwenda kuzipaka rangi TUNDUMA halafu Serikali inasema zimenunuliwa South Africa,utajulikanaje pasipo na Transparency ya kweli kutoka vyombo mbali mbali?

Ujinga wa Magufuri ni kuwaaminisha wajinga na wapumbavu wachache kuwa Tanzania ilikuwa taabuni,lakini baada ya yeye kuwa rais basi matatizo yaliyokuwa yanaikabili Tanzania yaliisha,kitu ambacho si kweli,kukazaliwa wasiojulikana wengi,kukazaliwa wavivu wengi kwa kisingizio cha wanyonge na ili wale matunda ya nchi walitumia mwanya wa kumtukuza na kumsifu ili waonekane wazalendo,kukazaliwa wezi wengi kwa kisingizio cha uzalendo,kesi za kubambikiza zikawa nyingi,uhasama baina ya vyama vya upinzani na ccm akiwa mwenyekiti wa ccm,uadui wa ndani na nje ya nchi kwa kupendelea maisha ya zama za mawe na kuacha kwenda na mabadiliko ya dunia ya leo.

Wapumbavu tu na wajinga wataamini Magufuri alikuwa mzalendo wa kweli,bali wasomi na waelevu walijua kuwa tunaelekea Rwanda,Uganda,Burundi,DRC na Somalia.
 
Lusinde yuko sawa, kumbeza beza hayati na kumkashfu wakati kuna wengi wanao kubali juhudizake kutaleta utata ukombele.
Mbunge Yuko sahihi kabisa. Tuache ushabiki, Magu kazi kapiga. Hakuna mwanadamu alokamilika, lakini katenda makuu daima yatatukuka nje na ndani ya nchi.

Tuache kulaumu tu, kila MTU hasa hawa walomadarakani miaka lukuki watwaambie wamefanya nini?
 
Kwenye enzi za kijamaa lazima yawepo kwa ndani na yabaki mali ya dola lakini enzi hizi za GLOBALIZATION kila jambo linajulikana hivyo uovu wa Magufuri upo katika kupenda sifa za kijinga na kuchukia uwazi,halafu huo ubadhirifu wa kutoa nguzo Mufindi na kwenda kuzipaka rangi TUNDUMA halafu Serikali inasema zimenunuliwa South Africa,utajulikanaje pasipo na Transparency ya kweli kutoka vyombo mbali mbali?

Ujinga wa Magufuri ni kuwaaminisha wajinga na wapumbavu wachache kuwa Tanzania ilikuwa taabuni,lakini baada ya yeye kuwa rais basi matatizo yaliyokuwa yanaikabili Tanzania yaliisha,kitu ambacho si kweli,kukazaliwa wasiojulikana wengi,kukazaliwa wavivu wengi kwa kisingizio cha wanyonge na ili wale matunda ya nchi walitumia mwanya wa kumtukuza na kumsifu ili waonekane wazalendo,kukazaliwa wezi wengi kwa kisingizio cha uzalendo,kesi za kubambikiza zikawa nyingi,uhasama baina ya vyama vya upinzani na ccm akiwa mwenyekiti wa ccm,uadui wa ndani na nje ya nchi kwa kupendelea maisha ya zama za mawe na kuacha kwenda na mabadiliko ya dunia ya leo.

Wapumbavu tu na wajinga wataamini Magufuri alikuwa mzalendo wa kweli,bali wasomi na waelevu walijua kuwa tunaelekea Rwanda,Uganda,Burundi,DRC na Somalia.
Wewe ndie msomi? Kama wewe pia ni msomi basi baba yako aliuza ng'ombe kupeleka Ng'ombe shule.

Lete ushahidi wa hizo nguzo kutoka mufindi kwenda Tunduma, lete ushahidi wa maovu aliyoyafanya Magufuli. Eleza kwa kwa hoja zenye mashiko hayo maovu aliyoyafanya Magufuli. Alafu utueleze ni awamu ipi haikua na maovu kwenye nchi hii.
Nakushauri meku ufanye kazi kwa bidii tuondokane na roho mbaya na chuki za kijinga. Hata Mbowe akiwa rais hataweza kukuletea chakula nyumbani.
 
Legacy ya mtu huwa haitangazwi kama neno la Mungu, kama ipo ipo tu na kama haipo hata upige firimbi kama yule jamaa wa Hamelin utakesha.

 
Back
Top Bottom