Livingston Lusinde: Amani na utulivu haviwezi kuwepo kama kuna wanaomsema vibaya Magufuli

Mbona Watu wanakosa utulivu wa roho,kwani mwendazake Taifa ilikua mali yake, ? alikuepo Kama kiongonzi tu basi , hata angekua hajatwaliwa ipo SIKU angekuja mwingine nae angekaa pembeni Kama ambavyo waliomtangulia wamefanya , ni Ujinga kumtukuza mwanadam ,na hatukomi naona imeanza KWA mama pia, Tabia ya kijinga sana
 
Yuko sahihi 100% !

Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM ndani ya hili bunge walipita kwa msaada mkubwa wa JPM na sio uongo kwamba asilimia kubwa yao ni wanafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…