Livingston Lusinde: Bashiru Ally alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu

Livingston Lusinde: Bashiru Ally alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu

"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
Duh...!.
P
 
"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
Anajitambua na ubunge amepewa kwa mujibu wa sheria.

Cc team Bashiru....hatupigi goti kwa Nebukadreza ng'o😂
 
"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
Kwahiyo lengo siyo kutumikia wananchi ni kuwa chawa wa mtawala
 
Inawezekana wengi hawamfahamu vizuri Dr. Bashiru.
Binafsi kwa muda mfupi niliowahi kumfahamu, naamini ni kiongozi anayependa ukweli. Muhimu ni kuzungumza ukweli huo kwa staha na ndicho alichosisitiza wakati wote akiwa katibu!
 
Bashiru atakumbuka kitabu kilichoandikwa kheri yangu mimi sijasema
 
Hawa ndio wabunge wa Tanzania, unategemea , Wamkomboe Mtanzania !!!

Ndio maana JPM anabaki kua Bora kabisa, kuendesha jeshi la mtu Mmoja .

Sasa hivi, K.M Kichwa maji, bungen Nako unakuta mabichwa maji.

Yanachowaza ni matumbo Yao na Biashara zao ziende vizuri
 
"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
Dah! Maneno ya dharau kweli kweli.
 
Back
Top Bottom