Livingston Lusinde: Bashiru Ally alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu

Livingston Lusinde: Bashiru Ally alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu

Lusinde nadhani kapoteza kumbu kumbu kumbe!

Kikwete alimteua James mbatia Kuwa mbunge unakumbuka moto wa mbatia Bungeni!!?
 
Kwa wabunge kama huyu, Tanzania bado tuna safari ndefu.
Halafu kuna watu wanashangaa kwanini Tanzania ni maskini, hivi! Tutaachaje kuwa maskini, na umaskini utatuandama mpaka siku Wananchi wote tukiongea lugha moja kuhusu ufisadi wa CCM.
 
Ndio maana tupo tunaosema ubunge wa kueteuliwa na viti maalum ufutwe.
 
Kibajaji yupo sahihi katika hili.
"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
 
Huyu pia ni mbunge? Ubunge imekuwa kazi ya hovyo sana hapa tanzania, kazi yao ni kutafuta tu cheap popularity na wengi wao hawana jipya.
 
Bashiru anamuwakilisha aliyemteua, haileti mantiki kumkosoa, anatakiwa amsemee na kumtetea yeye, sio kumkosoa.
Ubunge wa kuteuliwa na wa viti maalum ufutwe.
Kwahiyo lengo siyo kutumikia wananchi ni kuwa chawa wa mtawala
 
Kwa hiyo mbunge wa kuteliwa ni kwa maslahi ya rais, na siyo nchi..........rais anamlipa kwa pesa zake za mfukoni.....kuwa na wabunge dizaini hii ni moja ya hasara zinazolikumba taifa hili.
Pamoja na hayo, je Ofisi ya Rais na Rais hawajafanya chochote? Kama kipo, kuna ubaya gani kuki-acknowledge?
 
Sasa ajabu nini kwenye hili, Mimi nikupe ulichonacho halafu nje uniseme utegemee nikae kimyaa. Ni sawa na Baba levo akamseme Diomond halafu akae kimya, ukifadhaliwa fadhilika basi... Bashiru bado anaumia sana ile plan yao haikwenda sababu ya Mungu kumchukuwa JPM, ilikuwa Polepole akiwashe bungeni halafu yeye katibu kiongozi ili wapitishe agenda zao za miaka 20 JPM bahati mbaya Mungu mkubwa hili bado hawaja move on.
 
Huyo atakwenda kutoa hesabu ya matumizi sahihi ya Ubongo aliopewa Mungu atamuuliza kautumiaje.

Siku ya kiama kuna watu watashindwa kuiona pepo kwa matumizi mabaya ya viungo vyao.
 
Nchi inaharibiwa na mambo ya kipuuzi na unafiki wa watu kama hawa, wote ni wapuuzi na hakuna mwenye maana
 
Uchawa ndo unarudisha maendeleo ya Nchi nyuma.
Mtu na Mudevu kazi yake kutwa ni kusifia tu hayo maendeleo yatatoka wapi
 
Kumbe hatuna wawakilishi na wafanya kazi wa umma Bali tuna chawa wadogo, chawa wakubwa, kunguni, viroboto, kupe, na papasi?
Ccm ni [emoji117][emoji90] ukimwonq baba yako au mama yako wanakwenda kupigia kura ccm ujue kabisa bila shaka yoyote kuwa ni WAPUMBAVU ...ILA KUNA TOFAUTI KUWA CCM NA KUPIGIA KURA CCM ...mfano mm nilimpigia kula JPM Ila siwezi kupigia kula chama cha ccm maana mm nachagua mtu siyo chama .pia naamini katika kupandikiza watu bora ndani ya ccm ,ni njia mojawapo ya kimapinduzi ya kuwa sambaratisha wahuni walio ndani ya ccm ambao kiongozi wao mmojawapo ni FISADI ROSTAM
 
Bashiru atakumbuka kitabu kilichoandikwa kheri yangu mimi sijasema
Wacha kujidanganya team SA100 inakwenda kuanguka bado kidogo tu. Sa100 kashindwa Kupigana vita na marehemu.
 
Wewe ukiki-acknowledge haitoshi?
Yaani nilikuwa naongelea hali ile ya kuwa upande mmoja ule wa kukosoa tu na bila ku-acknowlegdge mazuri. Ukikosoa bila kukiri uwepo wa mazuri maana yake ni kwamba hakuna mazuri ambayo yapo.
 
Back
Top Bottom