Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Mkuu mambo sensitive kama haya kwa utawala bora ulipaswa ukemee huu uchawa, unfortunately unavunga kuguna tu!Duh...!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mambo sensitive kama haya kwa utawala bora ulipaswa ukemee huu uchawa, unfortunately unavunga kuguna tu!Duh...!.
P
Chawa huwa ni watu wasio na elimu au wana elimu feki za rushwa au kuiba. Dkt Bashiru ni msomi nguli."Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
Kwahiyo analipwa 12M kwa mwezi nje na posho kibao ajili ya kumsifia aliyemteua?Bashiru anamuwakilisha aliyemteua, haileti mantiki kumkosoa, anatakiwa amsemee na kumtetea yeye, sio kumkosoa.
Ubunge wa kuteuliwa na wa viti maalum ufutwe.
Kwahiyo analipwa 12M kwa mwezi nje na posho kibao ajili ya kumsifia aliyemteua?
Mimi Niko nyuma yake 😆😆Nasimama na Lusinde.
Safi Sana Lusinde Hakuna kung'ata maneno"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
Sijaelewa hapa, kwani unapewa Ubunge kama asante ama unapewa kwa sababu ya uwezo wa utendaji wako wa kazi.?"Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
ha ha ha... huyo ni mtu wa tatu, baada ya wengine 2 wa mwanzo kusema "mnawakanyaga wenzenu kama majani"Bashiru atakumbuka kitabu kilichoandikwa kheri yangu mimi sijasema
Kumbe Sasa unaweza kuona Aina ya viongozi tulio nao kwa kupitia matamshi Yao."Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
SawaInabidi,
Halafu ameongea kwa mamlaka kabisa kama vile bado ni katibu mkuu wa CCM. Mimi ni mwenyeji wa Kagera nilichojifunza tangu 2015 ni kwamba watu wa mkoa huo hatuna sifa ya kuwa na vyeo vikubwa vya kutuweka ikulu."Kwenye dini tunafundishwa kushukuru. Yeye (Dkt Bashiru Ally) alipaswa kuwa chawa mkuu sababu Ubunge wake unatoka Ikulu (kuteuliwa). Mtu ambaye ugali wake unatokana na Ikulu, anakerekage Ikulu kusifiwa. Kama anakereka ... basi apishe." - Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde