Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

It is inverse proportion, kinachofanywa aonekane mtu wa maana mbele ya jamii yake, ni mdomo wake mchafu, ndio maana anatumiwa sana kwenye kampeni, kwa sababu siasa zetu ni siasa chafu na za hovyo hovyo. Mtu akiwa na mdomo mchafu ndio the best. Mtu akileta siasa za maana kwa waliozoea siasa chafu za hovyo hovyo, ndio ataonekana mtu wa hovyo!.

Unakumbuka 2005, Dr. Salim, Prof. Mwandosya na JK, unakijua JK alichomfanyia Dr. Salim kupitia kwa Salva wa Mtanzania?. Then what happened?. Watu wa maana wakatupwa, mshikaji aka win!.

Huyu Jamaa alipindua lile Tingatinga, la Mtera, na 2020 Prof. Kabudi akitia tuu pua, ataaibika vibaya!. Kwa umasikini wa Dodoma na uwezo wa akili, zao, Kibajaji is the best they have.

Kuhusu akili za watu wa Dodoma au masikini wa kutupwa!, kanisome hapa

Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?
P

Nimekupata vema
 
Tatizo skuizi vijana wa skuizi kujichanganya na mishe mishe kama hizo,ni ngumu kwasababu elimu zetu zimetutengenezea status, status ya kujishtukia kila sehemu unapo taka kujikana na kupambana lazima ukutane na classmates wako,so kuna hali flani ya woga wa kusengenywa vibaya,lakini zamani ilikuwa rahisi MTU kujichetua na kupambana eneo flani kisha akarudi kijijini alikozaliwa na surprise
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!

Huo utajiri wake aliupataje? Pengine kwa kuwa mwanachama wa CCM kwa kuwa nasikia chama hicho kinagawa utajiri kwa wafuasi wake.
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Ambacho hajakisema ni kwamba yeye ni "Mtaalam wa Anga za Mbali" kule Mtera...ndo maana hakuna mtu anagusa fomu ya Ubunge kule, vinginevyo atakugeuza msukule wa kufua umeme nyumbani kwake!
 
Jambo la maana analoweza kujiuliza huyo Lusinde ni: ''Je, background yake imemsaidia kuwa mbunge bora anayetetea maelefu ya maskini wanaoishi kama yeye alivyoishi ukitilia maanani ana expirience ya hayo maisha? Jibu ni HAPANA. Baada ya kupanda amewasahau walio kwenye maisha ya umaskini. Sijawahi kumwona wala kumsikia akipigania maskini wa Tanzania kama mbunge! Hili linafanya hiyo historia yake ya maisha isiwe na maana yoyote!
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Binafsi simpendi kabisa Kibajaji ila huwezi kumng'oa Kibajaji kwa gia ya usomi wa huyo Profesa Kabudi, hiyo ni moja ya sababu iliyomngowa mzee Malecela.

Kwenye kura za maoni Kibajaji aliwauliza wapiga kura kuna mwenye degree wapiga kura kimya, kuna mwenye diploma wapiga kura kimya, kuna form six wote kimya kuna form wote kimyaa, akawaambia sasa nyinyi darasa la saba mimi ndio mwenzenu dalasa la saba mwenzenu, kupigwa kura tingatinga chali.

Kabudi aingie jimbo hilo kwa gia nyingine na siyo usomi ataduwazwa na hatoamini macho yake.
...Vema, je hao la saba wenzake kuna lolote la kujivunia kawafanyia?
 
Karne ya 21 kushabikia Darasa la 3 ni upungufu wa madini kichwani!!

Hizo ni bahati tu.... Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi!!

Mbona matajiri wengi hii Tz ni std 7, akina Mwita Gachuma, nk. Hii haimaanishi wasomi hawana maana!! Thubutu!!

Pia hawa std 3, 4 & 7 wengi walikuwa Majambazi. Ila mtu akisha toka ata anza kusimulia ONLY the POSITIVE side.

Mf...Masanja ana hela tu nzr na sasa ni mchungaji. Mfuate sasa akusimulie, historia yake ya Maisha! Movie yake utaipenda ni zaidi ya KIKOREA.

Ww kama Mwandishi ulipaswa uchunguze kwanza kabla ya kuulisha umma na kuaminisha umma kuwa Elimu si chochote!!

Hii nchi inaendeshwa kisomi, ndio maana ipo!!
[emoji106] [emoji106] Very well said Mkuu..
 
Kibajaji hakupambana na Malechela, bali walichuana katika kura za maoni wakiwa wote wapo CCM na kwa fitina za kina Makamba (akiwa katibu mkuu na pembeni Lowassa) wakaamua kumchinjia baharini ili asije akatia zengwe huko mbele ya safari ya matumaini.

Na pale Morogoro kwenye mkutano wa Kampeni ya 2015 mzee Makamba akamtosa Lowasa na kumgaragaza kabisa Sumaye.
 
Hili ni fundisho kwa walimu na wakuza mtaala, watoto wetu wanahitimu na wanatafuta ajira, you, be creative, you can be rich, global wise all of us we are after money!!!!!
 
Nilimpenda lusinde sana kuanzia pale alipomtingisha zito bungeni,,uzur wa jamaa maisha ya kitaa na maneno ya kihun ambayo anaweza kukuambia tena ya kuudhi halag ha kistaarab inamfanya awe tofaut sana na elim yake ya darasani...

Huyu watu wa ukawa hawatak hata kumwonaga ktk kampen yyte maana anajuaga kuwaumiza kwa maneno ya kuudhi bila kuvunja sheria.. Napenda sna anapotulizaga kelele za wale wasusaji bungen
....Ningekuelewa kama walau ungetuambia mchango wake bungeni kwenye kutunga sheria za kuwasaidia watanzania maskini....unfortunately inaongelea kusifia upumbavu usio na faida yoyote...unadiriki kufurahia eti kamfunika Zitto!!! ....sijui huu upimbi mtaacha lini...
 
Mkuu Mgoloko, yes anaweza kuwa zero, pia ni kweli simjui vizuri, bali nimemsikiliza leo historia yake, alipotoka na mahali alipo sasa, wengi watakubaliana na mimi, kuwa, this man is genius!. Yes ni mropokaji na mpayukaji, hiki ndicho Watanzania wanachokitaka!.

Kipimo cha maendeleo ya kweli ni mafanikio na changing life style na doo vyeti mtu alivyohitimu. Huyu jamaa is a big success!. Being a school dropout, toka kuuza kahawa hadi kuwa mtungasheria, sio kitu kidogo!.
P
Paskali, unashangaa kutoka kuwa muuza kahawa hadi kuwa mtunga sheria kwa Tanzania yetu hii ya mihemko? Umekuwaje kaka? Hujui kuwa makosa ya Chigwemisye katika jamii ya wagogo ndiyo yaliyo mpa nafasi kibajaji?
Nikama makosa ya ugomvi wa Shushushu na Edo yalivyo mpa mzee wetu nafasi.
Labda ungetupa hoja ya maana aliyowahi kuitoa kibajaji bungeni kama mtunga sheria ndio tungeweza kuona jinsi gani mtu asiye na elimu ameonyesha IQ ya hali ya juu pamoja na elimu ndogo na sii ubwabwajaji aufanyao kiasi cha kudhalilisha kazi ile
 
Paskali, unashangaa kutoka kuwa muuza kahawa hadi kuwa mtunga sheria kwa Tanzania yetu hii ya mihemko?.
Labda ungetupa hoja ya maana aliyowahi kuitoa kibajaji bungeni kama mtunga sheria ndio tungeweza kuona jinsi gani mtu asiye na elimu ameonyesha IQ ya hali ya juu pamoja na elimu ndogo na sii ubwabwajaji aufanyao kiasi cha kudhalilisha kazi ile
Mkuu Chakaza, bandiko hili sizungumzii kuhusu Kibajaji, amechangia nini bungeni!, hapa nazungumzia mafanikio ya mtu from zero to hero!. Mtu ni drop out wa STD III, akaoa mke drop out wa STD IV lakini leo ni mbunge, ni tajiri, mwenye majumba, magari ya kifahari!, hapo tuu mbona mimi mwenzenu naona kuna kitu!, mtu wa aina hii sio mjinga, ni kichwa sana!. Ndio maana hata katika ile ishue ya Bashite kufeli darasa la 7, akafoji na kujiunga na Pamba sekondari ni akili!, baada ya kumaliza form IV na kupata zero, akafoji vyeti vya mtu aliyefaulu na kujiendeleza hadi kuhitimu chuo kikuu!. Just imagine mtu alipata zero, lakini kaingia darasani na kuhitimu, ni uthibitisho mtu wa namna hiyo ni kichwa!. Amini usiamini, mambo yote Makonda anayoyafanya Dar, anaweza kwa sababu ya maisha aliopitia!, angekuwa ni msomi wa kupasua mwanzo mwiso kama walivyo wasomi wengi, na yeye angekaa ofisini na kula kiyoyozi!.

Kibajaji anatoa soma kubwa la elimu maisha vs elimu makaratasi, huu ni uthibtisho kuwa Tanzania tuna vichwa sana, vimeishia darasa la saba kwa matatizo ya maisha na umasikini uliotopea, lakini wanafanya mambo makubwa kuliko wasomi wenye elimu ya makaratasi!.

P.
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Tatizo lake kubwa amesahau alipotoka kiukweli mpenda haki yyote yule Awezi kuwa CCM dhiki na matatizo yote chanzo CCM lkn kwake yy CCM kwanza hlf ndio raia na utanzania unafataka...
 
Mkuu Chakaza, bandiko hili sizungumzii kuhusu Kibajaji, amechangia nini bungeni!, hapa nazungumzia mafanikio ya mtu from zero to hero!. Mtu ni drop out wa STD III, akaoa mke drop out wa STD IV lakini leo ni mbunge, ni tajiri, mwenye majumba, magari ya kifahari!, hapo tuu mbona mimi mwenzenu naona kuna kitu!, mtu wa aina hii sio mjinga, ni kichwa sana!. Ndio maana hata katika ile ishue ya Bashite kufeli darasa la 7, akafoji na kujiunga na Pamba sekondari ni akili!, baada ya kumaliza form IV na kupata zero, akafoji vyeti vya mtu aliyefaulu na kujiendeleza hadi kuhitimu chuo kikuu!. Just imagine mtu alipata zero, lakini kaingia darasani na kuhitimu, ni uthibitisho mtu wa namna hiyo ni kichwa!. Amini usiamini, mambo yote Makonda anayoyafanya Dar, anaweza kwa sababu ya maisha aliopitia!, angekuwa ni msomi wa kupasua mwanzo mwiso kama walivyo wasomi wengi, na yeye angekaa ofisini na kula kiyoyozi!.

Kibajaji anatoa soma kubwa la elimu maisha vs elimu makaratasi, huu ni uthibtisho kuwa Tanzania tuna vichwa sana, vimeishia darasa la saba kwa matatizo ya maisha na umasikini uliotopea, lakini wanafanya mambo makubwa kuliko wasomi wenye elimu ya makaratasi!.

P.
Mali zenyewe zimepatikana kwa mfumo wa chukua chako mapema bado zinalindwa na mfumo huo pia Pascal kaka yngu usiniangushe kwa ili mbona kila kitu kipo wazi utaki tu kuona au kutazama vzuri...
 
Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina alikuwa house girl kwa Komba, akamletea kanda ya nyimbo za dini, akaiomba, huo ukawa mwanzo!.

P.
Mianzo yenye miale iliyotokana na cheche za upendo, haiwezi kiacha kichaka kikavu salama
 
Back
Top Bottom