Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

Ufinyu wa elimu ndo unamfanya awe alivyo-anajitutumua!

Masikini ni wengi n.a. kila mmoja hutoka kivyake.Si ajabu angesoma asingekuwa alivyo.Angekuwa mstaarabu wa "kinywa".

Masikini akiokota matako hulia mbwata. N.a. damu ya watafiti wetu inawalilia watu wa aina yake. Ujinga ni mzigo!
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Sawa.Tumekusoma.
 
Mkuu Samurai, I'd like to differ, Watanzania hatuhitaji matendo yanayoleta matokeo chanya, bali tumeridhika kabisa na tantalila. Watanzania tungekuwa tunataka matokeo, CCM ingekuwa kaburini, kitambo!. Kwa vile inaleta tantalila, na sisi tunaichagua kwa tantalila hizi, then Watanzania tunachotaka sio matokeo ya maendeleo, bali ni tantalila za mipango mkakati wa maendeleo, Mkukuta, Mkuza, Mkurabita, Vision 2020, Millennium development goals, Kilimo Kwanza, BRN, sasa tuko Tanzania ya Viwanda. Jee uliwahi kusikia lini kumefanyika mrejesho wa matokeo chanya ya hii mipango mkakati?.
P

Mkuu Paskali, Hakuna uwekezaji mzuri wenye kulipa Duniani kwa wapenda madaraka kama Ujinga, Na bila shaka lolote CCM katika hili wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana namaanisha uwekezaji mkubwa kwenye Ujinga. Na uzuri CCM hili wanalijua kabisa juu ya huu uwekezaji katika Ujinga.. Ukipiga vita ujinga utakuwa umepiga vita CCM na lazima hapo upambane na CCM.

Suluhisho: Aina nyingine ya ukombozi unahitaji hapa hasa wale waliojitambua kuwanasua wajinga walio wengi kutoka kwenye ujinga aka "undondocha", Ni vizuri wale wenye kuelewa kujaribu kuelimisha zaidi jamii ya kitanzania dunia ilipo na Tanzania ilipo na tatizo ni nini na hapa tutakuwa tumesaidia jamii. Tunapoenda kupambana na CCM wakati jamii bado imetopea kwenye ujinga kama mtaji wa CCM tutajikuta wachache na huyu adui CCM/UJINGA atatumaliza.
 
Mkuu Paskali, Hakuna uwekezaji mzuri wenye kulipa Duniani kwa wapenda madaraka kama Ujinga, Na bila shaka lolote CCM katika hili wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana namaanisha uwekezaji mkubwa kwenye Ujinga. Na uzuri CCM hili wanalijua kabisa juu ya huu uwekezaji katika Ujinga.. Ukipiga vita ujinga utakuwa umepiga vita CCM na lazima hapo upambane na CCM.

Suluhisho: Aina nyingine ya ukombozi unahitaji hapa hasa wale waliojitambua kuwanasua wajinga walio wengi kutoka kwenye ujinga aka "undondocha", Ni vizuri wale wenye kuelewa kujaribu kuelimisha zaidi jamii ya kitanzania dunia ilipo na Tanzania ilipo na tatizo ni nini na hapa tutakuwa tumesaidia jamii. Tunapoenda kupambana na CCM wakati jamii bado imetopea kwenye ujinga kama mtaji wa CCM tutajikuta wachache na huyu adui CCM/UJINGA atatumaliza.
Hoja hii inaukweli, niliwahi kuizungumzia hapa.
Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?
P.
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.


Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Safari hii ukurugenzi wa kagera unao
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Kipi amefanya Hadi aonekane kichwa
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!

Kutoka kwenye kurekebisha kanda na bi Edina pale kwa Komba hadi kufikia kumiliki majumba, magari ya kifahari na mashamba ndo hapajazungumzwa. Nadhani hiyo akili kubwa unayoisema ndo ipo katikati hapo. Majumba, magari na mashamba ni matokeo, sasa tupe mchakato uliotumia hiyo akili kubwa kuleta hayo matokeo.
 
Kutoka kwenye kurekebisha kanda na bi Edina pale kwa Komba hadi kufikia kumiliki majumba, magari ya kifahari na mashamba ndo hapajazungumzwa. Nadhani hiyo akili kubwa unayoisema ndo ipo katikati hapo. Majumba, magari na mashamba ni matokeo, sasa tupe mchakato uliotumia hiyo akili kubwa kuleta hayo matokeo.
Watumishi wa umma wako wa ngazi mbili, Luna maofisa na wafanyakazi wa kawaida. Hao maofisa wanalipwa vizuri, wanalipiwa nyumba, wakisafiri wanalipwa per diem kubwa kuwazesha kulala hotel na 'blangeti'!. Wafanyakazi wa kawaida, wanalipwa mishahara kiduchi, hawalipiwi nyumba, na wakisafiri, wanalipwa per diem ndogo kuwatosha kulala guest na sio hoteli.

Mimi nilianzia kazi ya utangazaji RTD, kwa ngazi ya afisa, hivyo kuanzia Mkurugenzi na maofisa wote wanaishi nyumba za serikali, sisi Watangazaji tulipangiwa nyumba zinalipiwa na ofisi, wafanyakazi wa kawaida hawapangiwi nyumba wanapanga vyumba uwazi!.

Amini usiamini, hao maofisa kuanzia Mkurugenzi, hadi wanastaafu, wamestaafu hawajajenga nyumba, kama sio ule mpango wa Mkapa kuwauzia watumishi wa umma zile nyumba za serikali, kuna watu wangeumbuka!.

Sisi watangazaji kutokana na umaarufu, nyumba bure, starehe bure, bia na pombe bure, mademu wanatupapatikia, wengi wa watangazaji wa zamani pesa zetu ziliishia kwenye starehe.

Lakini huwezi amini, wale wafanyakazi wa kawaida wa kada za chini wakiwemo madereva, wote wana nyumba zao za kujenga na wanakula kodi!. Wengi wana mashamba, pesa yao kiduchu wanafanya mambo ya maana.

Hivyo mtu aliyezoea shida na kuishi maisha ya kimasikini anakuwa more financial conscious, anaweza kuishi with more savings kuliko walioishi kwenye utajiri!.

Mfano mzuri ni linganisha life style ya JK na JPM!.
P
 
Akili yake imemsaidia kula good tyme. Imefikia kiwango anasahau akiumwa kifua anaenda kutibiwa na mwanafunzi wa profesa.

Infact hakuna nchi maprofesa wanatukanwa kama TZ. Sijui ni nani alowaloga watz. Sijui pia maprofesa walowakosea nini watanzania.


basi sawa Paskali.
 
Watumishi wa umma wako wa ngazi mbili, Luna maofisa na wafanyakazi wa kawaida. Hao maofisa wanalipwa vizuri, wanalipiwa nyumba, wakisafiri wanalipwa per diem kubwa kuwazesha kulala hotel na 'blangeti'!. Wafanyakazi wa kawaida, wanalipwa mishahara kiduchi, hawalipiwi nyumba, na wakisafiri, wanalipwa per diem ndogo kuwatosha kulala guest na sio hoteli.

Mimi nilianzia kazi ya utangazaji RTD, kwa ngazi ya afisa, hivyo kuanzia Mkurugenzi na maofisa wote wanaishi nyumba za serikali, sisi Watangazaji tulipangiwa nyumba zinalipiwa na ofisi, wafanyakazi wa kawaida hawapangiwi nyumba wanapanga vyumba uwazi!.

Amini usiamini, hao maofisa kuanzia Mkurugenzi, hadi wanastaafu, wamestaafu hawajajenga nyumba, kama sio ule mpango wa Mkapa kuwauzia watumishi wa umma zile nyumba za serikali, kuna watu wangeumbuka!.

Sisi watangazaji kutokana na umaarufu, nyumba bure, starehe bure, bia na pombe bure, mademu wanatupapatikia, wengi wa watangazaji wa zamani pesa zetu ziliishia kwenye starehe.

Lakini huwezi amini, wale wafanyakazi wa kawaida wa kada za chini wakiwemo madereva, wote wana nyumba zao za kujenga na wanakula kodi!. Wengi wana mashamba, pesa yao kiduchu wanafanya mambo ya maana.

Hivyo mtu aliyezoea shida na kuishi maisha ya kimasikini anakuwa more financial conscious, anaweza kuishi with more savings kuliko walioishi kwenye utajiri!.

Mfano mzuri ni linganisha life style ya JK na JPM!.
P
Hapa umejielezea wewe ambaye ulikuwa kwenye mfumo rasmi wa ajira. Yeye alitumiaje akili yake kubwa kufika huko hadi akawa na uwezo wa kupambana na Malechela huku akiwa ni darasa la tatu na hana back up yoyote. Huo mchakato ndiyo utakaowahamasisha vijana wasio na elimu kujifunza kutoka kwake na kutokata tamaa.

Tuambie alifanya nini hapo katikati?
 
Hapa umejielezea wewe ambaye ulikuwa kwenye mfumo rasmi wa ajira. Yeye alitumiaje akili yake kubwa kufika huko hadi akawa na uwezo wa kupambana na Malechela huku akiwa ni darasa la tatu na hana back up yoyote. Huo mchakato ndiyo utakaowahamasisha vijana wasio na elimu kujifunza kutoka kwake na kutokata tamaa.

Tuambie alifanya nini hapo katikati?
Mimi nitajuaje?.
P
 
Na huwezi kuwa na akili timamu ukafikiria TL anaweza kuwa rais wa nchi hii.. kwa akili zako kuna siku utasema hata Lusinde au Kibajaji anaweza kuwa rais...watanzania wenye akili wanakusoma wanakuoa kiazi sana.
Mkuu GuDume, hapa Unamaanisha nini?, unamaana wote wanaomuona Tundu Lissu anaweza kuwa rais wa nchi hii, hawana akili timamu?.

Kwanini unamdharau Kibajaji?
Msome kwenye bandiko hili.

P
 
Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, waliwahi kupata msiba kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walimzika bila hata Sanda, bali walimzika na gunia!. Aliumia sana!.

Aliletwa Dar na mama mmoja kuja kumbebea mizigo, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kuwa kazi yake imeisha, ni kufikisha tuu mzigo. Hana hili wala lile, alilala juu ya mti wa mkorosho kwa siku saba eneo la Kinondoni Moscow.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu.

Very interesting!.

Paskali

Paskali,
Unataka kuniambia Kibajaji anakuxidi akili kweli? Darasa la 3, mtu ambaye hata cheti Cha Shule ya msingi Hana...!!!You must be seriously joking!
Lakini sishangai kwa Wana CCM kusifia na kushangilia watu Kama Kibajaj simply because anajua Kutukana, kushambulia na kubeza Wapinzani.
Kwangu Mimi Lusinde Kibajaji is a Low IQ like any other uneducated guy!? Huu ujinga wa kuendekeza Wabunge wenye Low IQ ndo umeifikisha CCM hapa ilipo.
Bunge zima la CCM lenye Madokta na Mapro-fedha wanakaa kusikiliza Ushauri wa mtu wa Darasa la 3 na wanaupokea na kuufanyia kazi....!!! What a shame to Graduands and the educated class in Tanzania? Huu Ni udhalilishaji wa Elimu ya Tanzania kwa ujumla wake. Haiwezekani Watu wasomi wapokee maelekezo toka kwa mtu aliyeishia darasa la 3!!
Na hii tabia iko Sana Bunge la Tanzania. Leo utamsikia Kibajaji na kedho utameikia Msukuma Joseph Kasheku akinanga Maprofedha wa CCM halafu wanabaki kumshangilia kama mazuzu! What a non-sense!
Unasema ati anaonekana ana Powers fulani...!! What Powers are you talking about? Darasa la 3 awe na Powers zipi? Nikakubaliana na wewe kwa 100 % Kama unazungumzia MAGICAL POWERS (Nguvu za Kichawi/Vigagula). Ninajua Majitu mengi ambayo hayakwenda shule yanaishi kwa kutegemea NGUVU ZA GIZA Kama ndumba, uchawi, majini na kuroga kwenda mbele!!!
 
Wanabodi,

Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia hapa Clouds TV, Mbunge wa Mtera, Mh. Livingstone Lusinde anahojiwa mubashara, japo elimu yake ni darasa la saba tuu, lakini kiukweli kabisa, jamaa huyu ni kichwa mbaya!, anauwezo Mkubwa sana wa uelewa wa mambo, ufahamu, uwezo wa kujieleza, lakini kwa kumsikiliza tuu, nimebaini huyu Jamaa ana kitu kingine kikubwa cha ziada, he has powers. Ni kupitia powers hizi, ndizo zilizomfanya aweze kumngoa Mzee Malecela kule Mtera.

Kwa wenye nafasi Angalieni Clouds TV saa hii, mtakubaliana na mimi.

Ameanza kwa kuelezea chanzo cha jina la kibajaji, alipewa jina hilo na Mzee Malecela baada ya yeye kujaza fomu kuchuana naye ndani ya CCM, kwa vile yeye aliitwa Tinga Tinga, akasema huu ni mpambano wa Tinga Tinga na Kibajaji, kitasagwa hadi maiti hataonekana!. Alipombwaga ndipo jina hilo likapata umaarufu..

Kibajaji anasema tangu amezaliwa hakuwahi kumjua baba yeke hadi amefariki, wamezaliwa wengi, kilichompa usongo wa maisha, ni kusikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya umasiki uliotopea katika familia yake. Kuna wakati mama yake alishindwa kutoka nje kutoka na kuwa na Kaniki moja tuu, inafuliwa usiku na kuanikwa kisha inasubiriwa kukauka ndipo mama atoke!, akaogopa kuwa kwa hali hii, siku ikitokea shida, mama yake anaweza kutembea uchi!, na kweli walikuja kupata msiba wa kufiwa na dada yake, shauri ya umasikini, walishindwa hata kupata sanda tuu ya kumzikia, wakamzika na kumviringisha kwenye gunia!. Hili jambo lilimuumiza sana, akaamua lazima apambane na kuandoka nyumbani!. (This is very bitter reality!).

Aliombwa nyumbani kwao na mama mmoja kumbebea mizigo yake kuja naye Dar, baada ya kufika jijini na kufikisha mzigo salama, kesho yake aliporudi pale yule mama alimfukuza kama mbwa!, kuwa kazi yake ilikuwa ni kuleta tuu mzigo, sasa mzigo umefika. kazi imeisha. Akiwa hana hili wala lile, hana pa kula wala pa kulala, anasema alilala juu ya mti wa mkorosho eneo la Kinondoni Moscow kwa muda wa siku saba, ndipo akaanza kujiongeza kwa kufanya chochote!.

Baada ya pele alianza kujiongeza kwa kufanya chochote, zege amebeba, vibarua amefanya, mizigo, akawa anafanya chochote, ameuza kahawa, amekuwa machinga, amefanya kila kitu. Amewataja baadhi ya aliofanyia kazi.

Anasema alipewa kazi ya ulinzi Kiwango Security, katika kazi yake ya ulinzi, kuna siku alipangiwa kulinda kwa Capt. Komba, ndipo alipokutana na mkewe Edina aliekuwa house girl kwa Komba, akiwa kazini, alipenda kuwahi kazini na kusikiliza nyimbo za dini katika redio yake ya kanda. Hivyo Edina akamuomba kanda ya nyimbo za dini akasikilize ndani, hivyo kanda ikakwama, ndipo akaitwa ndani kurekebisha mambo, na huo ukawa ndio mwanzo!. Akawa anamletea kanda zi nyimbo za dini na huo ukawa mwanzo, hadi wameona, toka kuuza kahawa sasa ni tajiri Mkubwa mwenye mashamba, majumba na magari ya kifahari!.

Anasema yeye kaishia darasa la 3, na mkewe Edna kaishia darasa la nne, hivyo wakichanganya ndio inakuwa darasa la saba. Amesema jambo moja la muhimu sana, yeye na mkewe wana elimu kubwa sana isiyo rasmi. Kama serikali ingetumia mbinu za kuitap hii elimu isiyo rasmi ya Watanzania wasio na elimu ya darasani, wanaweza kufanya mambo makubwa, kuliko ma profesa wenye elimu za vyuo vikuu, lakini faida za elimu hizo inaishia kwenye makaratasi tuu, lakini watu wenye elimu ya maisha, hawana makaratasi lakini wanafanya mambo makubwa!.

Anasema amewahi kudharauliwa sana kutokana na umasikini, hivyo kisiasa, amedharauliwa sana, amekiri kwenye siasa, fitna zipo. Anasema usipende kujibu kila tuhuma, amesema yeye ni msomi wa hali ya juu sana ya elimu dunia, elimu ya maisha, hivyo wanaosema hajasoma, wanamtaka aonyeshe vyeti, akasema akionyesha vyeti, watasema hajatahiriwa, then ataonyesha nini?, hivyo haonyeshi vyeti ila amesoma na sio elimu ya darasani!.

Jamaa amemaliza, kiukweli huyu Jamaa ni very interesting person, ana kipaji cha juu sana cha kujieleza, pia ana powers fulani za success. Kuna watu wameacha shule, au kuishia darasa la saba kutokana na mahangaiko tuu ya maisha lakini wana I.Q kubwa. Huyu Jamaa ana I.Q kubwa sana, angesoma elimu ya darasani, angekuwa profesa!, uthibitisho wa I.Q hiyo, ni kupitia kwa Binti yake aitwae Penina, yuko kwenye top 5 ya vichwa mkoa wa mzima wa Dodoma!.

Kiukweli mimi nimeguswa na historia ya huyu jamaa, na kuna kitu nimejifunza kwake kuhusu elimu ya darasani ya ma vyeti na elimu ya maisha kutokana na usongo wa umasikini!. Hata Bakhresa aliishia elimu ya madrasa tuu!.
Hongera sana Mhe. Livingstone Lusinde, kuna kitu najifunza kwako!.

Asanteni kufuatilia.

Paskali
Profiles nyingine za watu mbalimbali na mwandishi huyu ni hizi
Steven Kanumba: Has a Very Touching Story!
Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe Walilolikataa Waashi Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
Mafuru ni Mmoja wa Mashujaa wa Taifa Hili, Kwa Kuwa Mkweli Daima, Jee Kupangiwa Kazi Muhimu Zaidi?.
Steven Masele atamkwe Shujaa wa Taifa! Ni kweli Balozi wa Uingereza ni Jasusi. To Hell with...!
Umenikumbusha Hussein mwinyi mtoto wa mzee mwinyi, Nape mtoto wa mtoto wa mzee nape, jenister mhagama mtoto wa mzee mhagama, Riziwani mtoto wa mzee kikwete, January makamba mtoto wa mzee makamba, Fred Lowasa mtoto wa Mzee Lowasa. Karume mtoto wa Mzee Karume.
 
Back
Top Bottom