Invisible
Kwa sasa ishakuwa ngumu. Wamepelekwa Keko kwani bail yao ilikuwa ni nusu ya kiwango kinachoaminiwa kuibiwa (Bilioni 221).
Vogue ya Liumba ameiacha pale PCCB[/QUOTE
Yaani hii nchi yetu ni tajiri wa kutupwa! Kabisa, anayebisha mwache abishe! Haiwezekani mabilioni yote hayo yakwapuliwe- EPA akaunti moja tu ya BoT tena kwa mwaka mmoja tu2005 (tena hiyo ni sample katika ukaguzi wa Ernst and Young, wangefanya in datails zingekuwa pesa nyingi zaidi), Twin Tower plus yale tusiyoyajua. Hii ni aibu kubwa kwa Rais Mstaafu na nathubutu kusema kuwa kwa kweli hakusaidia ila alijisaidia mwenyewe na kuwawekea mizizi mirefu Mafisadi. Nataka kuamini kuwa ni shemu ndogo mno ya pesa za Serikali na Wafadhili hutumika ipasavyo.
]
Kuna haja ya ku-revisit the foundations of this nation na kuona ni wapi tulienda wrong. Siku zote tumekuwa tukibeza corruption ktk Nigeria lakini kumbe na sisi wamo kwa sana tu. Hata ile taasisi ya kuhunguza/ kuevaluate ufisadi TI - Tranparency international nadhani imekaa kimazabe mazabe tu si walituambia kama miaka mitatu iliyopita kwamba ufisadi umepungua mno nchi hii!!!!!!!
You are quite right Nyambala, tunahitaji Kiongozi Mwingi mabaye atakuwa Mwasisi wa Maendeleo ya Tanzania, kabisa!